@maalim_ruzubh9: ndevu

ruzubha mkuu
ruzubha mkuu
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 04 August 2025 13:43:35 GMT
224373
2974
217
484

Music

Download

Comments

mr_tirrion_toronto
Mr Tirrion Toronto :
luzuba mim nilipaka lakini zimeota ,na harufu ilikuwa mbaya sana asee . 🙄😥🫤😠😤
2025-08-04 19:51:53
9
butto035makoleboy
@makole boy :
Mavi ya nini
2025-08-05 06:25:37
1
kami.dax.tz
Kami Dax Tz :
nilipaka na hazijaota nilikusikiliza kupitia CG FM radio
2025-09-17 13:36:37
0
nzega.finest
Esien Store :
ruzubha mcheza Ngoma wa kisukuma mbona huzeeki Mzee wangu maana hili jina nilianza kulisikia muda sana miaka 2000 nakuona bado hujazeeka
2025-08-15 12:32:50
0
bravogmail.com33
[email protected] :
ndevu kwa heli
2025-09-30 10:03:47
1
shizzz61
Shizzz boy OG :
we mm ndevu ndy naztak 😁 alafu niziondoshe
2025-10-07 14:07:27
1
user9011221834615
mabagala Lucas :
😳😳 sikupingi ila najiuliza swala la kupata ndevu ni la kibailojia VP utazuia homoni kirahisi hivyo
2025-08-05 06:36:25
5
bryanraphael851
Bryan Raphael :
Nakukbali sana kaka leta na yakuotesha kipara
2025-08-05 18:26:54
3
mathayo.manju
Mathayo Manju :
wewe ndo mnamwaluzubha?..
2025-09-14 10:05:40
1
rupia_adventure
Rupia Adventure Ltd :
Vipi nywele za chini? (Vuzi) sitaki ziote kabisa
2025-09-25 04:54:38
1
captntravo
CAPTEIN TRAVO :
wenzio wanakuaga live wew haupo live hunabando la kukaa live nin
2025-09-14 16:50:48
0
docko54
docko :
walisema mtapaka na maviii tukabishaa
2025-09-01 09:50:12
1
bg.mtoto3
king bilinea👉 :
kaka habari mimi nataka dawa ya biashala
2025-08-04 15:58:55
2
user5001586150128
#JOSEPH KAGOSI @$kapilu* :
nani akinya mavi @
2025-08-05 16:50:58
1
user6546198762077
Manase🤗 :
Dr vipi mavuzi na za kwapani nikizingatia maelekezo je dawa itafanya kazi🙄
2025-08-05 10:42:56
2
user24024190945116
user24024190945116 :
Duu, kumbe mavi ya Ng'ombe ni dawa ya kuzuia ndevu.
2025-08-07 05:33:33
0
user6539047233261
user6539047233261 :
Kaka Mkubwa Samahani sana Naomba dawa ya kuacha Pombe
2025-08-30 18:17:10
1
allykiss0
Allykiss :
bro mbn unaonekana ni mtu mzim kabisa
2025-08-05 13:48:46
0
unju66
UnJu :
Naukishapaka unakaa kwa mda Gan unatoa?
2025-08-04 17:53:05
1
user4274439029954
mwinyi Lucas laizer :
ukipaka baada ya mda gani zinakua hazioti tena
2025-08-06 14:41:41
1
user4393984369263
Willey :
unakaa muda gani ukayaoshe hayo mabi
2025-08-05 21:49:19
1
chekitabasamu
Cheki Tabasamu :
hiyo ni kweli au zesheni
2025-08-06 04:43:24
1
user3245166597546
Emmanuel :
babuuuu ndevu zinanisumbua saana
2025-08-04 15:37:59
2
sir.mhoja
SIR.MHOJA :
Ruzuba si babu yake mchungaji magembe mchawi koma, utakufa vibaya wewe!!
2025-09-13 10:12:40
1
angeledwin500
Angel Edwin :
naomba unisaidie namba yako na shida sana
2025-08-05 10:52:10
1
To see more videos from user @maalim_ruzubh9, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About