@philo.chemwa.ww:

Philo chemwa
Philo chemwa
Open In TikTok:
Region: KE
Tuesday 05 August 2025 15:56:47 GMT
2037636
47383
6580
19535

Music

Download

Comments

billgod06
BillGod :
kama unapenda Mungu gonga like hapa🤣🤣🤣
2025-08-06 17:43:52
1210
clementadammwijar
Clement Adam Mwijarubi :
Mithali 7:6 [6]Maana katika dirisha la nyumba yangu Nalichungulia katika shubaka yake; 7 Nikaona katikati ya wajinga, Nikamtambua miongoni mwa vijana, Kijana mmoja asiyekuwa na akili, [8]Akipita njiani karibu na pembe yake, Akiishika njia iendayo nyumbani kwake, sasa hapo unaweza ukaendelea mpaka mstali wa 18 ndipo utakapo pata maana kamili maana bina damu wanazidi kuwa wapumbavu.
2025-08-06 19:03:10
144
user9338352400626
rachel🥰 :
tuliochukua biblia tukasoma tukahakikisha gonga like
2025-08-06 17:29:57
113
laxa254
𝖕𝖆𝖙𝖔 :
hii ni kitabu gani kwa bible nataka kua serous Sasa na story za bible ..😳😳😂😂
2025-08-06 09:16:02
971
user9021783445675
💞genius g💞 :
tulio somaa na mistali mingine tujuanee
2025-08-06 20:06:26
320
fatma87780
Fatma :
hii sio bibilia acha kuharibu kitabu cha mungu na usherati akili yako inawaza mkulano
2025-08-06 11:55:00
76
user4511520920071
pyrexiz 254 :
hiii si biblia bro acha kutupima 😂😂
2025-08-06 09:53:06
16
pamela.moraa.back
pamela moraa (back up) :
nani mwingine amesoma kweda chini hadi mwanaume akamfuata huyo mwanamke kama ngo'mbe aendaye machinjoni.......
2025-08-06 14:03:07
194
kaleeboy81
kipngetich81 :
kumbe umalayaa iko kwa biblia😂😂😂 ndo maana najaribu kuacha inakataa😂😂
2025-08-06 19:42:47
252
user8751398614073
💞𝑫𝒆𝒏𝒏𝒐𝒉 ~𝑴𝒂𝒄𝒉𝒐𝒓𝒂 :
𝑚𝑒𝑡ℎ𝑎𝑙𝑖 7:18-19
2025-08-06 07:12:05
19
lafillederhumba
memelover :
na mbona hatujaisomewa hii verse kwa misa????kanisa ni scam
2025-08-06 17:11:50
9
happybaby407
… :
Mtu aniambie nikitabu gani hiki kabla sijalia 😔
2025-08-06 15:52:09
6
mr_smile_walker
Mr Smile🥰 :
proverbs 7 25 bible verse 😂
2025-08-06 23:05:20
16
apostle.baraza.abe
Apostle Baraza Abel. :
Which book and chapter?
2025-08-06 06:26:17
18
wuobaba
Ericko De teacher :
Kumbe bibilia pia hufunza watu umalaya🤣🤣🤣🤣🤣
2025-08-06 07:23:56
9
muhandawasike
muhandawasike :
Naona kuna biblia zingine zimetokea za kuporosha watu
2025-08-06 12:02:19
8
mathiasmatiku561
Mathias Matiku :
hicho ni kitabu gani?😂
2025-08-06 19:06:06
7
gastosilayo819
kingdom events :
ukitaka usipotoshwe soma kuanzia Mithali7 1 mpka hapo17 utakuwa ushajua kilichokuwa kikisungumzwa
2025-08-06 13:23:26
9
moureenous.massaw
momo 💙❤B :
tulio soma mpka mandishi ya chini njooo apa 😁😁😁😁😁😁
2025-08-07 20:19:28
18
otienochogo002
otieno :
Proverbs 7:18-19 Ni ukweli
2025-08-06 06:28:29
18
gatangafinest21
️ :
lakini hii generation ni funny mnataka kujisomea kwenye mnataka ndio mseme ata Bible imeandikwa🤣before ufike apo read from verse 1 to understand the whole chapter
2025-08-06 10:14:39
65
kida.m.t.comedy
kida mt comedy🌍 :
Nani anataka tulikiane video😂😩🥰 reply done
2025-08-06 09:17:59
120
majjuhjayoguttuh
𝐌ⓐ𝐣𝐣𝐮𝐡⚪™️ :
proverbs 7 18-19
2025-08-06 10:34:36
220
sharonkim267
+254 SHARON :
Verse 20: Amechukua bunda la fedha hatarajea nyumbani karibuni😂😂😂😂😂😂
2025-08-06 14:56:50
20
alexmusyoka141
Nut king Alex 🇪🇹🇪🇹🎙️🎙️ :
hakuna bibilia imepangwa verses ivo angalia
2025-08-06 18:10:16
9
To see more videos from user @philo.chemwa.ww, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About