@almas.uzazi.hub: Maajabu ya kitunguu chekundu ( red onion) 1. Husafisha mji wa mimba ➡️Husaidia kuondoa uchafu na sumu kwenye kizazi. 2. Huimarisha mzunguko wa damu ➡️Mzunguko mzuri wa damu husaidia afya ya mfuko wa mimba na mayai. 3. Hupunguza maambukizi ➡️Kitunguu chekundu kina viambata vya kupambana na bakteria na fangasi, hivyo hupunguza PID na maambukizi mengine. 4. Huongeza ute wa uzazi ➡️Hii huongeza nafasi ya mimba kutunga kwa urahisi. 5. Huchochea homoni za uzazi ➡️Husaidia kuuweka sawa mzunguko wa hedhi na kuongeza uwezo wa kushika mimba. 6. Hupunguza maumivu ya tumbo la hedhi ➡️Hufanya kazi kama anti-inflammatory ya asili. Share na ndugu na jamaa, hakikisha unafollow akaunti yetu kwa mafunzo zaidi! #uzazi #fertility #tanzaniantiktok🇹🇿 #tiktokkenya🇰🇪 #usa_tiktok #usa_tiktok #usa_tiktok #foryou #trendingvideo