@jamiivoicemedia: AMESIMULIA POLEPOLE

Jamii Voice
Jamii Voice
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 08 August 2025 09:54:44 GMT
1048048
28632
2177
3232

Music

Download

Comments

surveyor19tz
I AM AFRAID OF GIRLS :
Watu mkiambiwa Magufuli hakufa kawaida mnabisha ndio mmeanza kuelewa sasa
2025-08-08 12:38:24
604
user4267319561550
Wamkunda JR :
Taratibu tutapata ukweli,
2025-08-08 11:54:39
616
vivihoney_26
vee 🦋 :
sina nguvu ya kusikiliza hii clip.. roho inaniuma😭😭😭
2025-08-08 12:54:33
297
badarimaryogo45
0628526979 :
HUYU JAMAA ASIPUUZWE
2025-08-08 13:09:34
318
nzwalila84
Mkulima84 :
Wajinga wengi na machawa watamuona Hon. Polepole kama msaliti. Lakini huu ndo ukweli na hali halisi yanayoendelea Serikalini.
2025-08-08 12:55:29
186
rickboyjuniour
Erick juniour :
polepole hana njaa asingeacha ubalozi
2025-08-08 12:21:19
155
whoisjuma
Jayway :
Huyu jamaa sio salama kwa usalama wa nchi 😳
2025-08-08 12:37:25
48
jamila.omari1
Jamila omari :
wakati wa mungu umefika tutajua mengi
2025-08-08 18:30:45
135
marie4761_3
marie4761_3 :
Yan hadi Balozi, kiongozi serikalini!ameongea mnahisi anajifurahisha hapo…….?
2025-08-08 20:07:10
30
mariam.e.madoshi
Mariam E madoshi :
nikweli magufuli aliuwawa na hakufa kwa mipango ya mungu
2025-08-08 12:44:03
67
bintlonco
bintlonco :
Huyu kama hajapigwa bastola basi ataekewa simu mungu amlinde dunia haipendi watu wakweli
2025-08-08 16:10:22
100
mozix20
mozix :
Huyu n mnafiki afu pia ni msaliti na hafai kwasab kama alijua mipango kwann hakuizuia akaacha magu afe?alipokufa kwann hakusema?
2025-08-08 12:38:51
9
pacome2621
pacome :
corona ndo ilomuondoa magu wacha ukhanisi
2025-08-08 12:02:16
28
young_nailly
nailly :
kwanini pole pole usiseme haya ukiwa maarakani. hivyo ni kuishiwa tu
2025-08-08 13:08:34
7
user8594622924551
laoo d mama :
kwajinsi nililia kifo cha JPM mpaka sasa sijawahi kaa sawa niseme to yupo Mungu Mbinguni ajibuye maombi yetu😭😭😭
2025-08-08 12:46:52
37
inamonga
Inamonga :
Tuko na Pole pole mpaka life jituuuu....
2025-08-08 14:10:48
9
michaelymakoye
Michaely Makoye :
mbona ata mwenyewe alisema mara nyingi
2025-08-08 17:26:35
9
msafirimwambela
msafirimwambela :
wanao Pinga hii hoja ndio wahuska
2025-08-08 14:06:11
16
daph20191
Daph Robi💯 :
af nlichogundua Tz mabinti wao au wadada n wajasiri kuliko wanaume aisee so painful wanawake wana uchungu na nchi yao kuliko wanaume aisee
2025-08-08 20:17:51
16
muchamucha21
Muchamucha21 :
Anavyozungumza ni kama kwamba nchi haina usalama wa taifa, haina jeshi, uraisi sio taasisi, ....
2025-08-08 18:11:50
5
userchimo41
chimosa :
kama ulikua mwema mbona ulikaa kimya?
2025-08-08 18:48:48
5
mabulla5
mabulla :
Dunia haina siri
2025-08-08 14:39:46
18
www.tanya07.com
Tanya :
Umetutonesha kidonda 😭😭
2025-08-09 07:22:32
17
je_mungu_katahiriwa
notification :
yani we polepole ni matako kama yalivyo matako yako siku zote ulikua wapi uje kipindi hiki cha uchaguzi
2025-08-08 16:02:25
13
mahamudu.emedy2
Mahamudu Emedy :
kwann usingeutangazia umma kipindi kile unakuja kusema leo
2025-08-08 15:24:40
99
To see more videos from user @jamiivoicemedia, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About