@lapex.properties: MIKASA PART 02 Mtaalamu na mshauri wa masuala ya ardhi, @thommnkondya, akielezea mikasa ambayo hawezi kusahau katika Sekta ya ardhi

Lapex Properties
Lapex Properties
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 11 August 2025 13:38:06 GMT
194640
7535
245
520

Music

Download

Comments

brave2theheart
Braveheart :
Hakuna hati miliki ya kiwanja Tanzania, ni hati ya kukodishwa ardhi. ndio maana zina kipindi maalum. 33, 66 na 99 years.
2025-08-12 04:56:29
22
sleifik_hajjir21
sleifik hajjir :
Mm nipo Zanzibar mbona naanza kuofia kununua kiwanja bara
2025-08-12 07:24:00
18
billmakuka
Bill Makuka :
duh ila yote kwa yote mgogoro wa ardhi unatesa sana kuliko mgogoro wa mahaba 😭😭😭
2025-08-12 00:20:21
60
fungogodlove
FungoGB :
Mimi nilinunua eneo Kinyerezi mwisho muuzaji kumbe alihonga kwa demu wake kiwanja mapenzi yakaisha demu akaaanza ujenzi aliyeniuzia akanambia huyo demu kavamia eneo kwenda court kesi ipo mahakamani demu kauza eneo lote kwa mtu ndani ya mwezi kajenga ghorofa kesi imeendelea court kwa sasa namiliki ghorofa bila kujenga japo wamekata rufaaa court of appeal toka 2017 mpaka leo
2025-08-12 13:40:50
19
gdence_auto_spare_parts
Gdence Auto Spare Parts :
story nzuri lakn hilo la mbunge alikuwa masomoni kwa miaka 20 ndio inanichanganyaaa
2025-08-12 04:14:02
15
danielsimwanza445
dangodo :
kaka ivi watu wa ardhi wa serikalini si waweke mfumo wa picha unaokuwa unaonesha mmirik wa kiwanja
2025-08-12 13:14:59
7
josephndobandola
josephndobandola :
Nawakubali sana ntaona kwa consultation
2025-08-12 05:36:16
5
omanoman6548
Oman Oman :
Mimi mwenyewe ilisha nitokea kiwanja kiliuzwa alafu wakaniudhia na mimi siku napeleka matofari nakuta mtu amesha haza kujenga tukamtafuta musika akase ngoja niwabadilishie tukabadilisha namshukuru mungu alafu kule mvua panajaa maji kama jagwani😂😂 namshukuru mungu ningeniramba😂
2025-08-12 06:54:54
8
restless906
Restless ants mosesin :
U'r very very smart bro i wish to have money to support u'r
2025-08-11 18:13:20
8
juma.machibya8
Juma Machibya :
daaa kaka nimekukubali sana kwakuwa muungwana
2025-08-11 20:15:14
7
ramamadini
Love my self :
afu Kijana unaonekana umesomea sheria au sociology et?
2025-08-11 17:50:51
13
kanjelenje
Ian :
Bro hekima yako ndo umekufikisha hapo una bonge la hekima aise
2025-08-12 14:54:32
9
dontluk
dontlook :
migogoro mingi ya arthi inaazia Kwa watumishi wa serekali, Kwa sababu wao wana information na mamlaka. serekali ikifanikiwa ku fully digitize the system makisa/uovu mengi ya kiubinadamu yata pungua.
2025-08-11 22:35:25
9
adammj268
Adam Mj :
inaogopesha!!,,unaweza kua na Hati miliki lakini usimiliki,,dah!
2025-08-11 16:38:04
9
user2904368243498
gracious :
land law uki2mia ardhii miaka 20 mfulklizo inakua halali yako
2025-08-12 15:10:00
2
dantte_banks
dantte_bankx :
Sasa tufanye nini ili iyo mianyaa isiwepo. Wanyonge wengi na watu ambao awana sauti wana kandamizwa
2025-08-13 11:05:18
2
kusekwaisaac_2
[email protected] :
yaani mwananchi ni mpangaji.wa Ardhi....
2025-08-11 18:00:14
3
braivanymuki23
braivany muki :
Nauza viwanja dodoma mjini
2025-08-12 21:09:00
1
aayanayo
Aayan Ayo :
Nimekutumia sms inbox 📥
2025-08-12 06:46:04
1
ludwinpaul
ludwinpaul :
Nashukuru Asubuhi ya leo nimeingiza kitu kikubwa sana aseee broski u great🫡🫡🫡
2025-08-12 04:43:13
4
sittaluge
sitta luge :
mh Mbunge Yuko masomoni nje kwa miaka 20? 🥺🥺,, ubunge ni kila baada ya miaka mi5,, ama alikua na kiwanja kabla hajawa Mbunge? story ya kutengeneza
2025-08-13 10:37:11
2
akida.salum8
Akida Salum :
Mimi nili nunua plot milioni2 akaniuzia mdogo akaja kaka yake anasema hapa hapamuusu nilimwaga mawe wameyatoa nashindwa cha kufanya mwenyekiti ana sema twende mahakaman lakini Mimi sipendi kes nimem ambia anibadiliehie akanipa sehem ndogo haina uwezo ya kujenga haya chimba kimoja sielewi nifanyaje eneo Ni lafamilia Yao walipo zaliwa
2025-08-13 09:57:19
1
user1462774040762
Kadinali :
safi sana kaka umenipa somo hapa MUNGU akupe zaidi
2025-08-12 05:29:21
2
makhtoum007
Makhtoum007 :
Namba ya kampuni yake naiyomba
2025-08-13 22:29:11
0
user3086111686932
user3086111686932 :
nawapataje lapex
2025-08-12 10:49:27
1
To see more videos from user @lapex.properties, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About