Haya ndio matumizi sahihi ya Tiktok بارك الله فيك يا أخي الكريم
2025-08-12 20:29:53
214
Islamic centre 🕋🕌 :
sijutii kuku follow shekh wangu mungu akuzidishie inshallah 🥰
2025-08-12 21:08:44
20
user20039205948450 :
Sheikh upewe ulinzi wakutosh,🌹🌹maana kwa elimu hii Allah akuzidishiy kila la kheri 🙏
2025-08-16 20:14:10
2
ليلي ابراهيم 💫❤️ :
sub hana llah, Alhamdulillah hili somo tulikuw nalo wiki ilio isha ilikuw chngamot darasan mpk tunamalz daras skuelew 7bu aibu alhamdulillah 🥰
2025-08-13 19:11:07
5
Bryante :
mbn hujibu swali langu sheheee????
2025-09-02 10:15:28
0
Rashid Adam :
duuh kumbe manii sio najisi 😳😳 nimefahamu leo. kwa maana hiyo kwa wale wanao piga puchu/punyeto( najua ni dhambi) anaweza akajisafisha tuu na kushika udhu na akaswali bila hata kuoga janaba na ikaswih??
2025-08-13 03:52:59
6
diyyermalo :
mm niko na swali kaka yangy ...umesema kuw manii yanatoka baada ya tend la ndoa sas yakuwaj twahara?
2025-08-13 07:41:24
1
mishymichellehomm :
Sielewi tsee sheikh nataka fimbo🤣🤣🤣
2025-08-14 12:09:18
1
King Gagarino :
je unapotokwa na madhii au wadii utawajibika kwenda kuoga janaba.
2025-08-13 07:50:01
8
user6579581855732 :
SHEKH umesema MANII hutoka kw kuchupa na hutoka baada ya tendo la ndoa na unatakiwa kukoga JANABA, sasa je wanini unasema MANII ni TOHARA✅️?
2025-08-15 12:05:42
3
user9588760590498 :
assalaam alaykum naomba unijib suala lang nauliza mwanamke anapokua ktk upevushaj wa yai mara nying hutokwa na kitu kama ute wa yai na mara nying hata ujisafishe namna gah halii hua haiish jee ni manii au wadhii tufafanulie kwa faida ya wote
2025-08-12 19:29:47
5
MR.MUU🛠️ :
shekh ukilala usiku ukiamka umelowa hayo nn?
2025-08-13 05:43:03
1
Sharfath💜 :
mimi sijaelewa kwahiyo mtu anaweza kuswali na nguo yenye manii
shekhe samahan...kam cc tuko uku ugaibun mumeo yuko mbali afu kuna siku unahisi hisia kali ama uongee na mumeo maongezi ya kuleta hisia afu uhisi kabisa hisia adi ujihisi unatokwa na vitu uku unajikaza...jaman mungu atusamehe umbali unashida...swali liko hapa shekhe je apo unapaswa kuoga ndo wendelee na swala zako ama...
2025-08-15 09:05:23
5
saudath :
asalam alaykum sheikhe,minaswali mtu akitokwa na madhiii yapaswa kuoga janaba?
2025-10-17 13:08:05
0
Aishaz :
mm ninaswali shekhe mfano iyo madhii imekutoka ukishatoa iyo nguo unaeza swali ama paka uogeee?
2025-08-13 14:44:46
1
ummu hajrah :
Assalam Aleykum warahmatullah wabarakatu,yale maji ya kuteleza kama ute yanayotoka baada ya hedhi ni madhii au 🙏
2025-08-15 10:39:39
2
mickey😘 :
mashalllh nmejifunza mengi kutok kwako, mungu ukuzdishie ilmu ulionayo inshallh
2025-10-01 22:38:10
2
Zaylove :
kwaiy ostaz mtuu mwenye wadii na wadhii anatakiwa kujitwaharisha kwakuoga janaba au kwakutia udhu tu....?
2025-08-27 13:18:13
1
husna dullah :
sijafaham kuhusu wadii
2025-08-13 03:23:00
3
husseinmatiwili :
manii hayatoki bila madhii kutoka
2025-08-14 14:08:19
3
rashadrashid3 :
sasa kipi sheikh kitanilazimu kuoga na kipi kitanitaka kushika udhu tu???
2025-08-14 14:32:56
1
Fatuma Swaleh :
Nina maswali
1.je mwanamke pia hutokwa na na manii
2.je yapaswa kuoga josho ukitokwa na madhii au wadii
2025-08-12 19:26:02
3
To see more videos from user @al.akhi.naasir7, please go to the Tikwm
homepage.