Am a Christian but Islamic teachings are the best.
2025-08-15 14:01:23
211
🦋M.M.G🦋 :
wenye hatuna wazazi tulilie corner gany jamani🥹😭😭😭😭
2025-08-15 14:49:44
227
Blessed one :
mimi ni mkirsto ila hii imenigusa moyo sana...mungu Azidi kukupa nguvu..uzidi kufundisha watu maneno haya yenye hekima.
2025-08-15 04:53:25
368
betty :
i want to be a muslim
2025-08-15 19:31:42
43
Dem wa Arsenal :
kuna mama wabaguzi wanabagua,hawaeki watoto wote sawa,wengine tunachukiwa hadi na mama waliotuzaa,kudhulumiwa kwa kila hali,inauma
2025-08-16 11:47:13
49
VIOLET :
how can I become a Muslim
2025-08-16 10:40:36
24
Regii(miss happiness)💋 :
I don't think my mum feel any pain 😏😏😏 ata nkufe sahii she can't feel anything,🥹🥹🥹 sijui nlikosea nany but Allah give me peace 🥹
2025-08-15 19:40:52
27
The Redeemed :
Na wenye adui zao wakwanza kutoka wakiwa watoto ni Wamama wamesimama pande gani,Wenye hawajapata upendo wa mama wanafaa kuketi wapi,Wamama hawafanani wacha kutumia emotions kwa subject sensitive kama hii weeeee.
2025-08-15 21:37:06
12
Hon.Julian Mueni (W/Rep)Macha :
Baba ni kwa macho mama ni kwa moyo 😭😭😭powerful
2025-08-15 17:01:59
76
JUA YA KWAKO❣️❣️❣️❣️❣️ :
ata wa leo sijawai hamini kama huyu ndie mamangu pengine aliniokota l go through Alot kupitia huyo mumama
2025-08-15 15:22:06
27
madame G😘 :
kwakweli mimi pia mkrto ila kwahuyu sheyhe amenigusa sana
2025-08-15 15:19:44
45
@Tachoni bae😘♥️ :
Heri wale ambao wana mama zao😢😢mine went too early since I was only 20 months old💔🥺
2025-08-17 10:26:43
5
maryam maryam :
nimepoteza mamangu siku sita simepita😭😭😭😭😭😭
2025-08-31 06:17:59
7
💗darlia carol 💗 :
heri wewe unalia nikwajili ya upendo ambao mamako alikupa Kuna mm hapa nalia kwa Ile Hali mamangu ananipitisha😭😭
2025-08-16 14:00:59
20
winifrida :
Kabisa mm mwanangu anachangamoto ya kubeba mimba zinatoka sasa ivi mara milija imeziba ,yaani maumivu niliyo nayo mungu ndo anajua
2025-08-16 09:18:31
8
Elizabeth Ambuka :
Tulioachwa na mama tukiwa wachanga kujeni tukumbatiane hapa na likes 😔
2025-08-19 00:38:09
11
Soni ❤️ :
I wish ningekuwa na mama💔wangu alikufa nikiwa na 6yrs my our firstborn na 8yrs na our last brother 4 yrs 😭😭😭kimiujuza tupo twapambana but mama ulituacha mapema.