I'm Muslim ila my dad Christian ✝️na amefariki nikiskia gospel namkumbuka sana cause nyumbani zilipigwa sana nimekuwa nikiskiliza 🥺🥺🥺mungu akulaze mahala pepo baba angu nakupenda sana🥺🥺🥺
Hii nyimbo mungu alijua tunaitaji hii 😩🙏” kosa langu na zambi zangu ni nini” nambie uovu wangu nitubu 🥹🥹🔥
2025-09-24 07:03:58
17
p :
hii nyimbo inanibariki sana🔥🔥🔥 ubarikiwe mwenye nayo Mungu akutunze
2026-01-24 09:43:22
2
lulukawago :
Mungu sikiliza moyo yangu nimechoka 😭😭🤲🙏
2025-09-22 22:05:50
21
valleryhumphrey :
Kosa langu na dhambi zangu nini niambie uove wangu ni tubu mbona umeruhusu haya mabaya yanipate yaniumize moyonii 🥹🥹 12/2/2024 🕊️
2025-09-10 07:55:35
8
Rosemary Simon :
moyo wangu umechokaaa sana
2026-02-04 07:38:44
0
PRINTSPHERE AFRICA :
on such a time am going through hell this is a motivation 🙏🙏🙏😭
2025-09-30 17:34:38
3
ACRAM 07 :
yani mm ni muslim lkn huu wimb unanifany napt amanii jmn
2025-10-24 05:35:22
0
shaloon :
uondoe mkono wako usinilemee na utisho wako kwangu usinitie hofu🙌🙌🙌
2025-08-15 13:03:00
12
preciouspaul🦋 :
😞Niko kwenye hard situation saa hii ila hii nyimbo inanibariki sana najikuta nakuwa imara zaidi
2025-09-22 18:37:50
13
abby :
Kaka Filbert, sijui uliwaza nini ila ni MUNGU amekupa Neema hii.. huu wimbo unaniliza kila mara ila ni vyem kumuelewa MUNGU 😭😭... MUNGU Akubariki 🙏
2025-10-14 09:23:38
3
cute love5052 ❤️ ❤️ :
mungu akutunze wewe kwajili yangu na utukufu wake🙏
2025-10-08 20:32:42
2
juma_lil_girl :
Nyimbo inanikumbusha baba angu pumzika kwa Amani 💔
2026-03-17 22:39:29
0
Naureen Male :
kabla sijaenda job lazima nisikilize huu wimbo yan
2025-10-20 10:03:43
2
ms_queen♌ :
hii nyimbo imenifanya niache kulalamika maana nimekuwa bila mama na baba toka mwaka 1995 ndipo nilikaa na kusema kumbe haya ni mapenzi yako Asante Mungu kwa kunipenda 😭