sion boy :
Hatuchoki mzeee ,,,mapenzi ya kwel hamuwezi kuelewana Kwa muda mfupi tuuu Huwa yanachukuwa muda kuelewana na watu wadizaini hiyo wakiingia kweny mapenzi huwaawanamaanisha,,,kwy majibu hayo hayaoneshi kuwa ndo mwisho wa kupambania mapenzi yako kwake,kwasababu huyo unaemwambia nakupenda haujui yuko KWENYE hali gani katika mahusiano huenda wapo waliomwambia hivyoivyo kwaiyo nawewe anakuona kama ndo walewale ,,,,,,,kwy haimaanishi kuwa hayomajibu yakufanye uache kupambania upendo wako kwake,,,,,,,
2025-08-18 07:48:51