@sonmsouth: ###Tiny voice mega brain##electrician comedy##sonmsouth tz#brand kubwa##mzaha wa fundi.

Son msouth tz
Son msouth tz
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 19 August 2025 09:53:57 GMT
711668
27027
383
395

Music

Download

Comments

yuzzo304
Yuzzo msela safi 4👊 :
tunae sema huyu siyo mtoto tukutane hapaa
2025-08-19 16:23:21
341
morie565
peaky blinder :
umeeleza vizur sana ...hongera bro
2025-08-19 10:35:54
116
mickdady.ramadhan4
Daddy ooh_45 :
hizo zinakaaga ndani na sii nnjr
2025-08-19 11:09:41
8
rajabu.haji.mgonj
RAJABU HAJI MUSHI🪖 :
kaka vip shikajiwangu it is good jobs
2025-08-19 21:20:58
0
mr.eagle.65
Mr Eagle 🦅 :
Sasa kakaa umeeka kila kona halafu zipo 3 kwahiyo nyumba ina kona tatu au😎😎😎
2025-08-21 17:28:03
11
lyricsmix
Lyrics Mix :
uyu anaeza nyoa na kichongeo
2025-08-21 05:25:22
3
lawchaman
Man Tz🇹🇿 :
huyo sio mtoto😂😂
2025-08-19 14:19:33
19
nale_sso
' :
Huyo fundi umeme anakata beam dah
2025-08-19 13:06:32
5
josephpeter863
josephpeter863 :
piga kazi kaka ukija kibamba kwa mshua nicheki tukutane kwani aliniambia upo mkoa
2025-08-20 20:08:36
0
neyndeli
mashotoney ndeli :
nilichogundua kuna watu wana comment vibaya ili dogo aonekane ameharibu kazi ila nilichopenda yeye mwenyewe kama yundianajua kujielezea vizuri hata mimi napenda sana zile taa za kwenye ngazi ila sikujua kama mfumo wake uko hivyo nimependa sana,halafu ilo box likikaa ndani linakua na mwonekano gani seblen ao unaliweka juu ya dari lisionekane
2025-08-19 16:53:50
5
emmanuelsanga47
emmanuelsanga335 :
chuga inabid mpige mishe kama hizo siyo kutwa kujiita wadudu
2025-09-06 13:42:59
4
nazahjohn
Nazah John💝💝 :
Alie kuwa hajui kuwa iyo box jina lake la kizungu ni water proof aje apa a like😅😅😅😅
2025-08-20 08:33:16
12
jeff_master4
JEFF MASTER 5🇹🇿✈️✈️🇦🇪 :
nakubali Engineer sasa mwanangu inabidi uvuke Dar uje ufanye kazi yangu ngoja nirudi mana nipo majuu ila nna mwezi tu likizo tunatoboa?
2025-09-15 06:46:56
2
aaronkonga
konga :
arusha hawa pimbi mnawtoa wapi
2025-08-23 07:45:52
0
young.lady.2
Young lady 💕 :
kaka kama kaka
2025-09-01 10:10:08
0
wingadodoma0
Dully..........🇹🇿 :
fundi amenyooka na ameeleweka kama mkubali fundi gonga like zifike 10k
2025-09-09 07:48:23
5
daviessonwearing
carlinhostz_38 :
kijana ukija kuoa demu ya kikatiti au ngusero izo akili zooote zinaisha😃😃😃
2025-08-27 13:02:49
1
mrchado7
Zungu boy 🇺🇸 :
Son vip
2025-08-20 19:23:30
0
jahmiel.martine
Jahmiel Martine :
nakupata fund nakujua upo mbez kaz zako sio mbovu mani
2025-08-20 20:06:37
0
omie618
Omie✨ :
Mchumba
2025-08-19 21:40:01
1
dr_umeme
paul umeme :
bombo umeweka chache
2025-09-14 20:19:18
0
dandan1222
𝕞𝕣 𝗛𝗲𝘅𝘇 :
toa kofia kwanza nataka kukua sure na kitu naona
2025-08-21 03:03:16
0
kelvinmasawe45
kelvin masawe :
makini sana engineer mm nakuelewa
2025-08-19 21:26:00
0
d.sammy66
RAIS WA MAISHA YANGU :
safi fundi
2025-08-21 02:07:09
0
stevstuart
Engineerstev tangastone :
Kwisha enyew mdogoooo 🔥🔥🔥
2025-08-20 04:22:08
3
To see more videos from user @sonmsouth, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About