Kuna siku ulisema “hiki ni kipindi kizur cha kuanzisha jambo.” You pushed me and i took leap of faith nikaanza biashara yangu ya juice🥹 day 2 mtu kaview my status akanambia “umechoka ivo hadi unauza juice”🥹 dah skulala siku ile niliiamrisha dunia kua hii biashara itaniheshimisha mbele ya watesi wangu and guess what the top is waiting for me. 🥹🥳❤️
2025-08-19 14:16:08
42
bahatijohn55 :
Leo kila mda kila sehemu naona namba 1111 ina maaana gani ??
2025-08-20 19:07:04
1
I'm ROSE BRAIDS🌹 :
haya nibebe mimba sasa😂🤗umenipa ujasiri
2025-08-19 19:25:17
4
The better Mom :
pin hii comment, alafu nipe miezi mitatu tu. nimeanza jambo ambapo sijui hata order zenyewe nazimudu vipi lkni ndio ivyo nimeamua kumsikiza dadangu mchawi😭❤️❤️❤️
2025-08-19 16:55:25
8
Thyndiswa ❤️ :
nimepost viatu na Sina Ivo viatu na nimeambiwa ni delivery Kwa mtu Yan imebidi ninunue viatu nimpelekee... najiuliza apa hela natoa wap😂😂😂yakununia mzigo mwingi na wateja wanaulizia....msikilizeni munno
2025-08-19 13:22:16
40
🥰 :
Asante dada mi niliachishwa kaz nikaanza biashara ila Sina mtaji wa kufungua duka nikawa natembeza sasa aibu jmn nashindwa kutembeza kwa kuhifia watanionaje🤦
2025-08-20 07:17:58
1
BeeMzury💝 :
na hii siku nilijiungamanisha na energy yenu mkiwa pale GOLD CREST mimi nikiwa nyumbani GANA ROCK CITY kwa sabab sina kiingilio cha kufika hapo nilijiungamanisha na nikavuka mahali na nyiee....aweeh🥰 hakuna kukaa kizembe..nilisema munno yuko mwanza ela sina ya kwenda lkn chochote watachofanya na mimi nimefanya kwa sababu mim pia nko mwanza ..and guess what...vifungo vilifungukaa shwaaa mimi peke angu najua nilichovuka wakati ule.
2025-08-19 19:36:26
3
Chimbo la nguo👗👕 :
Hapa eti naogopa kuingia live kuuza nguo Jmn 😭 Ila naamin ntaweza na naenda kuanza kesho vyovyote itakavyokua nitajipongeza kwa kuchukua hatua ,Barikiwa kwa kutuamsha my dear
2025-08-19 16:44:53
3
Manhood😶🌫️ :
ashwagandha unayo??
2025-08-20 13:30:58
0
Healing Moon 🌙🕊️ :
Huyu n mm kabisa nafsi yangu inataka kufungua cosmetic and beauty but naogopa mpka sijui nifanyeje 🥺🥺🥺🥺🥺🥺
mimi leo nimejawa na uthubutu wa kufanya jambo flani ambalo kila siku nafikiria af napotezea ila leo najikuta nimesimama nalo af nakuja kukutana na hii video 😢 wacha nilipiganie kuanzia sasa huenda litatimia
2025-08-19 14:15:27
7
Momovictory :
Is it crazy that i could feel your energy throught this video ni kama unataka kulia kwa furaha unatamani tuelewee deep i dont woi😩😩😩
2025-08-19 12:29:16
9
dealify.tz :
This video hata nikiisave naona bado sijatendea haki!!🔥 Sijui niiweke wapi 🥹❤️🔥🔥🔥
2025-08-19 13:59:26
9
Vivi🌸 :
Yesss you did it🫶 na tulikuamini nilitoka dar mpak mwanza tulikula na kupata maarifa bila kusahau tulipendeza mwanza master class was🔥🙌
2025-08-19 12:20:45
17
Riskboy :
fundi nakukubar
2025-08-19 17:52:12
1
eisher10 :
I came across this video and i have started my business after a long time dah like a coincidence thank u dear
2025-08-19 14:55:24
8
njeri wa mwaura/psychologist :
Muna you have really helped me in changing my life through ur video I only imagine what it will be if I attend the master class..I know am coming soon
2025-08-19 17:19:20
0
firefly 🥳 :
Mimi sipend hili swali "utaweza?"🤨
2025-08-19 13:02:17
12
Momo :
Uyu ni mim kabisa yan i wish kweli nianze biashar y kids clothes lakn hofu iliyoko ndan yangu mungu ndo anajua najiuliz maswal mwenyw n kujijibu mwenyw🥹🥹🥹nawaz nianze wap naanzaj je nitawez yan duh😩
2025-08-20 19:59:40
1
Cute :
Asante dear 🥰
2025-08-20 05:26:38
0
Ms_Treasure🥰 :
And we were there for you ❤️❤️❤️am so proud of me since that day , be blessed