Twaiba walah unawatoto unasubra na upendo wa dhati walay mie lulu ningekuwa nishamuwamba kofi mna anafanya kusudi hasa. Ivyo anavyojibu.mwenyezi mungu akujaze iman mara dufu twaiba wangu
2025-08-20 15:26:41
1
Tuma Say :
🤪🤪🤪 Saa tano saa sita hahahahahhaha wallahi luluuu
2025-08-20 13:56:53
1
user8531410159442 :
fufu amlipe lulu sio kwa matangazo hayo kila siku lazima achomekee tangazo la chpx kwa fufu....😂😂
2025-08-21 20:07:54
0
Shamila Bufu :
anajua kuzuga dada lulu
2025-08-20 13:01:35
1
nazira :
nimeshuhudia kwa dada Twaiba mungu akupe afya njema Twaiba una.wangalia sana lulu na mama yake anacho Omba lulu anapewa mungu akupe baraka nyingi sana kwenye kazi zako
2025-08-20 13:04:58
9
Lissah Mkuya :
Dada Lulu akiamua kwenda off script… Me nampenda buree❤️❤️❤️
2025-08-21 17:54:38
0
CHINA-BOY :
DADA LULU ANTIE ♥️LOVE U SO MUCH FROM TANZANIA 🇹🇿 ANTIE LULU MY ALLAH WILL GIVE YOU REWARD IN JANNAT FIRDUOS U LOOKING POOR GIRL LULU. ALLAH BLESSED YOU ANTIE LULU JUMA MUBARAK FROM UR BROTHER SIDIK FROM LONDON 🇬🇧 UK WS. 👍👍👍👍👍👍❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️