@nyotaraystv: WAZIRI wa Madini Anthony Mavunde amesema Mradi wa Nyazaga Gold Mining uliopo Wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza utakua na manufaa makubwa kipindi utakapoanza kufanya kazi ikiwa ni Pamoja na kutoa fursa za ajira kwa wakazi wa maeneo hayo na Watanzania kwa ujumla. Mavunde ameyasema hayo Augasti.20,2025 katika Kijiji cha Sotta Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza katika hafla ya kusaini Mkataba wa nyongeza wa undelezaji wa Mgodi wa Dhahabu wa Nyazaga kati ya Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Kampuni ya Nyazaga Mining. #fyp
Tanzania ni nchi pendwa kwa mataifa mengi kutokana na uhodari na upendo tulionao hili ni taifa linalotumia lugha moja na watu wakaelewana Tanzania ni nchi pekee watu wa mikoa taofauti wanaweza kuishi pamoja kama ndugu wa damu hakika tunaipenda nchi yetu kesho tunaenda kukiwasha na Morocco hatuboi wala hatupoi kwa umoja wetu tukaishangilie team yetu .
#AmaniKwanza
#KuraYakoSautiYako
@SISI NI TANZANIA
@SSH
@CHAN
@TANZANIA
@Quarterfinal
2025-08-21 13:06:04
0
To see more videos from user @nyotaraystv, please go to the Tikwm
homepage.