Mbona hospital walikuwa wanatuambia kila baada ya masaa matatu kunyonyesha??
2025-08-21 08:02:03
7
NuruJ :
asant sana dr Jessy na je mtoto naruhusiwa kuchanganya ya kopo na ya mama yaan namaanisha asubuh adi saa nane nikiwa kazini atumie ya kopo then baada ya kutoka kazin naendelea kumnyonyesha kama kawaida au itapelekea shida kwa mtoto naomba ushauri tafadhali
2025-08-21 11:46:52
9
Z.aisha5 :
miez 4 mgongo unaniuma sana sana dr
2025-10-03 16:52:37
1
wazirisangeni :
mtoto analia Sana usiku halali anataka anyonye usiku kucha je tufanyeje
2025-09-20 06:45:57
0
mamcyrus :
Asante sana.dr jessy yan najifunza meng toka nina mimba mpk saiv nmejigungua naendelea kupata somo ubarikiwe sana kpnz😊
2025-08-21 07:58:53
2
msLinu :
Asante
2025-08-22 23:44:23
0
chiiychiiy :
vip kama anachanganya ya mama na ya formula
2025-08-21 10:56:13
2
24.25262728 :
Yan naomb kuuliza cjaelewa kitu mfano saa 8 mchna namp mara 3 ndan ya hilo lisaa? Kwa mtu mwenye week 4
2025-09-01 15:07:14
0
MissTuma🥰 :
Hivi naweza kuchanganya maziwa ya kopo na yangu mama?
2025-09-04 05:50:16
0
Mama fifi🦋 :
Kwa mtoto wa miez Il
2026-03-21 23:58:10
0
Galbyh9565🦋 :
Docter ni muda gani pre mature wanaweza kutumia maziwa ya kopo? Na ni aina gani ya maziwa docter?
2025-08-28 09:22:33
0
jojo :
Kwann unasema milimita? Nadhani ni mililita. 😄🙏🏿
2025-08-23 17:08:23
0
Caroline Godfrey malya :
kwani hakinyonya ya mama na tukamchanganyiya ya kopo Kuna shida kwani
2025-08-27 19:57:06
0
engymaeda :
me sikaelewa
2025-08-21 08:50:56
0
menerry flowery770 :
dokta mtoto wangu ana mwez na nusu ni mpe maziwa ya kopo ya aina gani please njib mamy
2025-09-30 12:04:12
0
Rilahstore :
wangu miezi miwili anatumia mils 120
2025-08-27 20:19:28
0
blessed caroline :
kama mama hana maziwa unaeza mpa maziwa ya ngombe ama ya dukani mtoto wa 2month
2025-08-23 10:54:42
0
CuteAshii_Rah🥰 :
Ila mbona maelezo ya kwenye kopo yapo tofautiii maana mm nilikuwa nafata maelezo ya kwenye kopo je nisawaa ???
2025-08-21 09:57:48
6
sainaty :
nashkuru sana Dr mana nilitafuta maelezo haya mpka YouTube lkn ckupata
2025-08-21 09:29:14
1
best_cosmeticstz :
Dr Samahan mtoto wa miezi 6 anaeanza kula, anakula chakula mara ngap kwa siku?
2025-08-21 10:13:36
0
theresiaemmanuel6 :
wangu anamiezi 3 nikimpa mara moja hamalizi je niyamwage halaniandae mengine?
2025-08-24 15:03:43
0
mama wawili🥰❤92 :
je wa mwezi wakiwa mapacha?
2025-10-14 16:22:40
0
nkwaya sitta :
Doctor mtot wangu wiki mbil namchanganyia maziwa ya kopo na yamama ila anajisaidia choo kigumu naweka mlmetr 90 vijiko 3
2026-01-21 22:48:36
0
Erieti :
ivi unachanganya na maji moto au baridi
2026-06-23 09:13:49
0
Ummu Hajrah heena :
wangu anacheua sana jamn yan anasumbua sana najitahidi kumbeulisha lakini wapi nifanyaje wapendwa
2026-04-21 12:09:05
0
To see more videos from user @dr.jessy09, please go to the Tikwm
homepage.