@amanda..mummy: #fyp #blowthisup #imhighlyfavored #godloveme🙏🙏🙏 #amandakenya🕊️🇰🇪🇱🇧💖

Amanda Kenya
Amanda Kenya
Open In TikTok:
Region: LB
Friday 22 August 2025 11:28:12 GMT
22346
2016
74
12

Music

Download

Comments

fatma.omar490
Fatma Omar :
na waku vuta sigara
2025-08-22 18:13:59
1
underscorce254
🦋🦋 :
naulirudi the same house
2025-08-22 16:55:23
0
trizahchepkemoi132
Trizah Chepkemoi135 :
kwaza kuacha viombo Kwa kiti wakimaliza Kula Ghosh mm husinyika
2025-08-22 17:00:01
0
do.tie
Do.tie🤌💅🥰 :
momma dont tell me hiyo matress iko apo juu ndio unalalia 😭😭😭😭
2025-08-22 20:15:13
1
sash9093
S💞 :
wakulikiana twende nalo
2025-08-22 19:24:28
0
leamaris7
📍leshpie 📍💜 🇦🇪 :
huku nae unapenya meno ukienda kwa room ujajicheka unaona umekua chizi
2025-08-22 12:36:03
3
kikimarsha882
Ram💝ensley :
No wonder sikuangi interested kujua iyo kiarabu....wangu amekonda ata upepo inaweza mbeba😂😂💔
2025-08-22 19:29:11
0
254tabie1
T❤️a💓b❤️‍🔥y🦋🦋 :
Mimi Jana nmekuwa msick nikapelekwa hosy,Leo vile nmeongelewa na hii familia😌😌😌😌
2025-08-22 13:32:59
2
blessedgirl565
Sharon ❤️💗 :
mm
2025-08-22 11:38:17
0
zuhrahadasa2
💥Esther 💞💞🇰🇪🇸🇦 :
mm nasikiaga tu akinisengenya but hizo zingine si sikiagi mm ishai fika tyme karibu nidungeee kisu waiguruu😂
2025-08-22 20:45:53
0
stellah3738
Stellah :
ka ni ivo acha nikae kenya mwana,,,,na vnye sinanga brek naeza ekelea mtu🤣🤣🤣🤣🤣
2025-08-22 13:18:24
1
fypkenyansinsaudia254.ww
merriyan wa gulf🇰🇪🇰🇪🇸🇦 :
wangu hua ananibooh akianza akianza kupiga simu za kutembea nyumba mzima akikusengenya unaskia tu adha shagala maffi faida 😂😂
2025-08-22 17:55:59
3
jesus.is.lord4048
jesus is lord :
kuna ngamia niko nayo hapa naiachia mungu
2025-08-22 19:16:58
0
bebecool1
BEBE COOL 💙🩵🩷💜 :
bestie yako ako wapi
2025-08-22 17:27:38
2
prettydoreen55
💜AM-BLESSED💜 :
Juzi nilisikia wakisengenya lkni sikuvumilia niliwakorofisha kinoma kwan😂😂wote wakabaki kimya na kuniangalia
2025-08-22 20:33:13
0
user8291310139851
shaz shaz254 :
Wacha kuongea kingereza watajua unatwambie vile wako n wivu
2025-08-22 19:47:55
0
alice.mideva.bren
Alice Mideva Brendah :
Mimi ni don't Care 😂😂hata sitaki kujua hiyo kiarabu 🤣
2025-08-22 18:14:24
0
paulinelopez00
Miss_Lopez 254 :
Me natamni kukanyonga then nakumbuka kenya ni far sana😂😂
2025-08-22 18:20:57
0
calsine1
Habinty ❤️❤️ :
imgn hawa watu mtu akiona tu unasmile anaona tu uyu ako raha uku kumbe wapi
2025-08-22 12:23:54
1
userobarerehem
Rehema :
kama mimi huku nalia alafu tiktok nasmile😂😂
2025-08-22 16:05:50
0
danielmoyale
Jackie angaya :
Mimi nmechoka na staki leave saaizi,nachukua Dec ndio. ikue mingi
2025-08-22 17:20:09
0
1991essy
user7010036218750 :
😭😭😭 it's not easy ,,niliwork Lebanon 3year back to 2014 matusi walai mungu tu ,,ata matusi ndio nilijua kuliko words zingine
2025-08-22 19:14:53
2
foi.foi17
foi foi :
walikua wanasema aje?tuambie😂😂
2025-08-22 19:12:33
0
agnes.kemunto.asanyo
Agnes kemunto Asanyo :
ukweli mtupu
2025-08-22 17:50:56
1
margacardo
MargaCardo :
😘😘😘😘😘😘gud waaambie mwarabu ni mbwarabu ata awe mzuri aje
2025-08-22 17:42:44
0
To see more videos from user @amanda..mummy, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About