Usimchukulie mtu Poa usikute analipia Ada za. Watoto vyuo vitatu
2025-09-09 14:40:53
0
user4261612819453 :
imagini ndiyo baba yako anapita unamfanyia hivyo!!!???
2025-09-07 10:39:07
0
ADT-#217 :
So shida ni ip apo ??
2025-08-26 10:42:02
5
User0918261718718 :
Kwani shida iko wapi mzee wa watu kutembea au kuvaa suti hamjui 90% ya wa TZ ni maskini
2025-09-03 08:02:14
2
@️:@️: " ️" :
Hapo shida ni nini?
2025-08-25 10:16:27
3
officialveronica :
ifike mahali tuheshimiane jaman mbaba wa watu anajipitie zake😔 na tukileta baba ako uko kijijin ana hali mbaya kuliko huyo mnae mzalilisha saivi😏😏
2025-08-25 18:53:48
21
david mmbaga :
secession commenti heshima ifate mkondo wake, ni baba angu uyo🤣🤣🤣
2025-08-25 18:10:35
8
Jose Umeme kahama :
Kwani mzee hajasoma😂
2025-08-25 21:36:54
1
Baraka Muhanzo :
duuu haya
ndg zangu naomba sikiliza hata kidogo content zangu ukipenda nifollow ujifunze zaidi fursa
2025-08-27 02:16:48
1
Eng Moses D.M :
Tanzania ndiyo nchi ambayo msomi anamdaharau asiyesoma na asiyesoma akijipata hudharau waliosoma.
2025-08-25 08:00:08
32
Asher :
ss ulitak niuze bangi
2025-09-03 09:39:47
5
moanna 869 :
halafu hauna adabu 😂😂sa babaangu mdogo amekufanya nini☺️
2025-08-25 19:48:57
14
Mwanahawa :
natoa utamu style zote sichagui vipenzi
2025-08-25 04:26:38
4
SAGA :
Wasomi hi🤚
2025-09-06 09:07:24
2
Kiliza85 :
labda mimi sijaelewa hapa...Je kama ni wakili huyo uliyempiga picha na ofisi zake zipo mjini ,maana maeneo hayo kuna mahakama sita ...Na eneo Zima la Kisutu kuna Mahakama 8 kiujumla
2025-08-26 08:56:14
4
mchina master :
Kusoma sio tatizo ila kupata kazi ndio mtihani wewe tafuta tu hela zako ujiwekeze kwenye biashara yako 😂😂😂
2025-08-26 22:24:58
1
@Moseskokaofficial :
ww ulie record mzee wa watu anafatilia mafao yake Mungu anakuona😂😂😂😂
2025-08-26 19:20:24
3
Christian prince :
mnatafutaga laana kinguvu,unashangaa mbona nimesoma na michongo haiendi?? kumbe ulimcheka mzee aliyevaa suti juani kwamba hana gari😭😭😭.
2025-08-26 12:21:00
3
marawa :
ila hii tabiaaa
2025-08-26 16:23:22
3
Wilson Achilembwe :
kwahiyo ulitaka apande gar asitembee ujinga hio
2025-08-25 02:01:45
2
Greomino0€ :
jaman baba anguu mzaz 😳😳😳
2025-08-25 14:19:17
4
M TZ halisi :
ujinga kichwani
2025-08-25 01:20:18
1
spotem 😈 :
😂🙆🏽♂️ukikaa vibaya unajikuta tiktok
2025-08-26 17:16:48
1
rashad mustapha :
wew mwenyw mbn unatembea kwa miguu acha mamb ya ajabu.
2025-08-26 10:41:34
1
Wealthy guy :
We ni choko
2025-08-26 16:30:13
2
To see more videos from user @hisbad03, please go to the Tikwm
homepage.