@dr.fathy.saidi: RUDISHA EX WAKO NA NA FURAHANA AMANI YA NDOA YAKO NA MAPENZI YAKO KWA KUTUMIA RED ONION TU, UTAJIONEA ATAKAVYO RUDIA NA KAMA AMANI AKUNA UTAONA ITAKAVYO RUDIA KWENYA NYUMBANI YAKO, #fathysaidi #redonion #onionspell #foryou #exbackspell
una kata kitunguu kati kati unaweka chumvi ya mawe na karatasi uliloliandika jina la huyo mtu,unaweka kati kati ya kitunguu na unachomeka sindano kat kat ya hicho kitunguu
2025-08-28 09:50:25
44
Niyokwizera esperance :
sorry dada nimefany lakini sijafanikia tena nampend san yey hanipend
2025-08-25 09:18:50
108
m.dick :
red onion ndo nin
2025-08-30 16:05:45
14
Lizzbety makeja :
red onion ndo nin jaman
2025-10-20 10:59:09
5
Dativa Massawe :
Unaandikaje mmy sijaelewa kwa karatasi au kwa kitunguu
2025-08-25 12:47:05
29
Shehila Mrisho :
mbona hatamm nimefanya sijaona lolote
2025-08-25 18:47:05
16
DOGO YUX 5G आतन :
kwer nimeona mpaka namkwepa
2025-08-25 09:54:31
70
Hawa Exavery :
dada asante mm nilitumia ile yakuogea mdalasini jaman naitwa mpaka nachoka...
2025-09-14 06:35:14
21
lilhuni :
acheni usenge tafuteni hela wanawake
2025-08-25 15:09:00
23
Cesilia Paul :
samahan dada naomba nieleweshe red onion ipoje
2025-08-25 11:31:24
20
Tittly 🦋🦋 :
dada asante nilifanya na amerudi ila nilikaa mda hajarudi ila sasa nashkuru
2025-08-25 19:55:19
35
shakifu :
duuuh yan mimi nimejaribu ivyo dakika 2 tu nimeachika