@kautvtz: Mwanamke mmoja wa Nigeria amehukumiwa kifungo cha miaka 7 jela au kwa kosa la kula nauli ya mwanaume ambaye alitumwia kisha hakwenda kwa mwanaume huyo. Mwanamke huyo alishtakiwa na mwanaume ambaye alituma nauli hiyo kwa kusema alimtumia nauli mwanamke huyo lakini baada ya kutuma nauli mwanamke huyo hakuweza kwenda. Mahakama imemkuta na hatia mwanamke huyo na kumfunga miaka 7 jela. . . . . #kauUpdates #tanzaniantiktok🇹🇿 #news #foryoupage #new_trending