C C M haina vurugu imetulia vurugu zipo Chadema watu hivi huoni wanavyosambaratika
2025-08-27 20:52:32
3
GENERAL🇹🇿❤️ :
Magufuli alitoa siri zote za uchumi wa Tanzania wanyonge waliaminishwa kila ktu
2025-08-27 13:48:27
21
🅓︎🅤︎🅢︎🅚︎🅞︎🅓︎🅐︎🅛︎🅛︎🅐︎ :
ukiona mtu analalamika ajapata line ya kula hamna mzalendo wte wanafiki
2025-08-27 13:58:02
11
Instructor Hamid 🚔 :
kuhusu muungano mbona hamsemi kitu
2025-08-27 13:26:51
5
JUVENAL TEMU :
aliyemkaribisha rostam ikulu ni Magufuli akiwa na Polepole
2025-08-28 13:38:25
1
Janendutaayako :
huyu azizi jua ni mujew
2025-09-01 21:58:42
0
Ngosha :
no reform no election
2025-08-28 04:56:28
8
Heri kayezu Mukera :
mama samia wanamuonea
2025-08-29 21:18:16
1
khadijah :
CCM wanatakiwa waachie nchi wameshindwa kuongoza mwisho wataleta vita waachie vyama vingine kwani woote ni watanzania wana haki ya kuongoza nchi
2025-09-01 13:39:02
0
lovely❤️ :
hivi nyinyi huwa mko serious au mnafanya comedy Tu. CCM iko imara Sana. mna nguvu ngani nyinyi ya kumiliki nchi! amka usingizini wewe utajikojolea.
2025-08-28 18:09:53
0
The instructer :
ww wa 2020 nini? umesahau ccm ilikuwa haitamaniki ndipo Magufuli akarudisha imani kwa ccm na watu kuwa na imani na ccm. Kwenye watu watukutuku maumivu ni lazima hasa ukiwa unaondoa wanyonyaj wa kchi. Mt10:34 Hata Yesu alisema sikuja kuleta amani bali upanga kumfaranisha baba na mtoto n.k. Wanao Mponda Magu kuna mifumo yao ilistukiwa
2025-08-27 15:08:33
1
Mbugunyu :
Rostam atanunuje nchi? yeye ni mzawa muwekezaji mzuri tu ila kwa baadhi ya watu wanachuki nae tu
2025-08-29 18:59:12
0
Benjamin Bugalama :
wewe unajua maana ya walimwengu,,au unalopoka bila kujua unacho sema
2025-08-29 19:09:12
0
Isaac Hayes :
hizo ni hadithi tuu, kwani rostam ni wale? yupo tangu enzi za mkapa! isitoshe ni mzalendo wa hapa, wakiwa wageni kelele, wazawa kelele!
2025-08-27 14:16:01
0
Wilson Achilembwe :
upuuzi huo Usimhusishe magufuli wetu
2025-08-29 18:24:33
1
hamqaati :
@hamqaati:kua na akili wewe mpuuzi umefanya kazi kwenye serikali lakini hujui masoko ya serikali na wazawa yapoje vitu vya serikali huwa havina bei hasa kwa wazawa serikali inawepesisha ili wazawa wamiliki kama wewe huna hela kaa na ukapuku wako ila acha kelele sio biashara hiyo t biashara nyingi serikali ikifanya na wazawa huwa ni tofauti na inapo fanya na wageni
2025-08-27 14:59:12
0
Jojo :
so what?
2025-08-31 08:09:14
0
king ofizumacheli :
wanao cema5tena wakafe
2025-08-31 18:08:22
0
izungo real :
ndio maisha tuliikua nayo hatuna budi kutuli kwani hatuna pakusemea
2025-08-30 11:59:06
0
Mttaghe :
wewe ni mpumbavu juzi hapa ulikuwa unawaponda wapinzani leo hili kesho lile!
2025-08-29 17:50:26
0
Emiliana Zonzoli :
next please
2025-08-28 17:53:32
3
KD1111 :
Asepe tu
2025-08-27 18:51:41
1
To see more videos from user @african_boy47, please go to the Tikwm
homepage.