@khomeintv: Wanawake jijini Dar es Salaam na mikoa jirani, wameombwa kujitokeza kwa wingi kwenye uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), zinazotarajiwa kuzinduliwa kesho Agosti 28, 2025 na Mgombea Urais wa chama hicho Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika viwanja vya Tanganyika Packers Kawe. Wito huo umetolewa na Dkt. Ellen Otaru, huku akisema kuwa wanawake wanapaswa kujivunia Dkt. Samia kutokana na kufanikisha maendeleo kwenye sekta mbalimbali zikiwemo elimu, uchumi, afya na Nishati hivyo ni wakati wa kumuunga mkono kwenye kampeni za kuwania kuiongoza tena Tanzania kwa miaka Mitano ijayo. #KhomeinTvUpdates ✍️ Juma Mohamed PIA USIACHE KU SUBSCRIBE CHANEL YETU Khomein TV YOUTUBE UWE WA KWANZA KUFIKIWA NA HABARI ZETU Follow Insta @khomeintv_ Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok @khomeintv na Facebook Khomein Tv

Khomein Tv
Khomein Tv
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 27 August 2025 18:01:00 GMT
2597
31
13
4

Music

Download

Comments

winnie_johnie
WinnieJohn :
nenda mwenyewe kwa mama yako
2025-08-28 11:44:28
1
user1322214941561
user1322214941561 :
nyokololoo
2025-08-28 11:28:25
0
user9026705325761
user9026705325761 :
huyu nae wa wap
2025-08-27 18:57:28
0
ritha.donatus
Ritha Donatus :
nenda mwenyewe mwendawazimu nini
2025-08-28 12:28:13
0
ferdinand2883
ferdinand :
nenda mwenyewe
2025-08-28 09:32:06
0
fatumayasin946
fatumayasin946 :
umenena mama sisi tunataka amani
2025-08-28 06:37:22
0
ahmed.hassan2146
ahmed hassan :
peleka ujinga kule mpumbavu mkubwa
2025-08-27 18:32:59
0
baja.quzo
Baja Quzo :
kuma ww nyoko ww
2025-08-27 20:18:19
1
beath.elasms
Beath Elasms :
mhhhh😳😳😳😜😜
2025-08-27 19:02:57
0
To see more videos from user @khomeintv, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About