@rubabaimani: Nilipata ushauri kutoka kwa daktari wa mifugo pale Mwanza kuhusu virutubisho vya Koudijs. Kwa kuwa namuamini, niliamua kufuata ushauri wake. Hii ni mara yangu ya pili kutumia bidhaa za Koudijs—mara ya kwanza niliitumia nikiwa nafuga kuku chotara. Ukweli ni kwamba matokeo yake yalikuwa bora sana. Kuku walikua haraka na walipofika sokoni, bidhaa zangu zilionekana bora zaidi ukilinganisha na wafugaji wengine, licha ya kutumia muda mfupi. Koudijs imenisaidia kupata faida kubwa na ninaamini itaendelea kunisaidia zaidi.” #Koudijs #LisheBoraYaMifugo #MkulimaMwerevu #UfugajiWaKisasa #rubabamedia

Imani Lubaba
Imani Lubaba
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 30 August 2025 14:03:45 GMT
1296
31
0
0

Music

Download

Comments

There are no more comments for this video.
To see more videos from user @rubabaimani, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About