@staugustinechoirudsm: Ee Mungu kwa wema wako uliwahifadhi wote walioonewa

St. Augustine Choir - UDSM
St. Augustine Choir - UDSM
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 31 August 2025 07:13:16 GMT
51545
2970
68
116

Music

Download

Comments

salummwechaga
Salum Mwechaga :
mmevaa nguo fup af mpo mbel inakuaje mnawapa tabu watumish😁
2025-08-31 12:46:56
9
juliethadrea6
julieth julieth :
Hongereni kwa muimbaji mzuri. ushauri kwa kina dada. ukiona umevaa nguo fupi kama vile unaenda Arusini kaa nyuma. mbele hapo Kuna Padri haileti picha nzuri. pia mwanakwaya ni kioo cha jamii
2025-08-31 15:21:52
12
fanuely.e..mpene
Fanuely E. Mpene :
nilikuwa sijaenda zoezi wiki mzima lkn Leo nimeimba so powa
2025-08-31 14:58:54
1
user3165841980619
transiana mhile :
nguoo nguo nguo nguo
2025-08-31 15:48:44
1
dativa.james
Dativa James :
wawekeeni mbao ya kuziba hapo mbele wanawakwanza mapadri bhana
2025-08-31 14:38:51
2
stereo.singasinga
Stereo Singasinga :
Huwa mnaimba vizuri sana, nashauri mpunguze styles za kucheza ambazo si za lazima ili kusave energy kwaajili ya uimbaji bora zaidi wa utulivu. Kwa huu wimbo kama kungekuwa na ulazima wa kucheza basi walau mngenesanesa tu, kushoto kulia, calmly.
2025-09-01 12:25:14
1
ally4tz
ANKO ALLY :
catholic forever🥰
2025-09-01 16:45:13
4
gg26535
gg :
Fanya mpango tengeneza. mko nje. ambia viongizi wa church. just plyboards atleast mjkinge. not costly. macho hayananga pasia. But hyo psalms Iko tamu.
2025-09-01 03:59:37
2
st.josephs.mlolongo
St.Joseph's 2nd Mass Mlolongo. :
nice one
2025-08-31 10:14:03
2
doriye
dori :
uongozi una kwama pakubwa hawawezi vaa hivyo alafu mwanakwaya siti ya mbele kabsa big no
2025-08-31 19:18:58
3
matildasimon942
matildasimon942 :
hongereni mwaimba vizuri sana
2025-09-02 13:23:00
2
annmbevo3
annmbevo3 :
wako smart lakini wawekeeni mbao hapo mbele,,wanawake tembeeni Na leso Kila mahali
2025-09-01 04:49:43
1
eddsteddy
eddsteddy :
hiyo kwaya naeza ifikia? iko na wasupu kumi na nne
2025-09-01 04:30:30
2
honeybadger8542
Honeybadger :
UDSM Kuna kwaya ngapi?😒
2025-08-31 12:46:27
1
user2201261302163
me :
tulia😭 na wale wa nguo fupi
2025-08-31 16:19:13
2
flaviana9797
Flavie Collections💕 :
Uliwahifadhi wote walioonewa🥰🙏
2025-08-31 11:23:46
3
tee_electronics.m
Tee_electronics & more :
Naombeni hii nota jmn🙏
2025-08-31 18:53:14
1
urbanusnzomo570
Alberto 001 :
lovely voices
2025-08-31 15:42:51
1
user6148519511036
wider senior 💖 :
correct 💯👍👍
2025-08-31 18:55:23
1
dr.shayo
Calvin Shayo :
Ila sio fupi sana af third year mnaongoza
2025-08-31 18:23:18
1
user2608425681388
prosper yop la boum :
vizuri sana kwa uimbaji mzuri ila kuna mavazi hayatakiwi kuvaa ukikaa mbele ya watumishi wa mungu(mapadre).
2025-08-31 16:40:21
1
venaslujinya22
Venas Lujinya :
Utunzi wa nani huu?
2025-09-01 07:11:11
1
jbpaylgrfr1
Jb :
wow
2025-08-31 15:16:24
1
yosepha.mahenge
yosepha mahenge :
Asanteni kwa kuimba. Lakini ushauli wangu tuwe tunaonyanyana na kuelimishana juu ya mavazi ya kivaa kanisani wapendwa kunaumuhimu wa kukaa na vitenge wale wasimamizi mlangoni kusudi ukija na basi lako la Ajabu unafungwa kitenge
2025-09-01 10:15:41
0
restituta.dina
Restituta Dina :
🔥🔥🥰
2025-08-31 08:15:27
3
To see more videos from user @staugustinechoirudsm, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About