aah stori za kawaida hzo kwakila aliefanikiwa utaskia tulilala njaa mwezi mzima unajiulza ss mbona anaishi 😃
2025-09-02 18:11:06
5
Jakaya Antony :
influence 🤣🤣🤣
2025-09-02 07:46:56
4
Abdulaziz mrisho :
Very interesting interview,inagusa hisia za wanaume wengi,kwa ambao tumepitia maisha ya namna hiyo tunaelewa nini dotto ana maanisha.Katu usimkatie tamaa mwanaume anaepumua
2025-09-03 09:39:50
9
Friday hamisi tz :
Natumekula ugali mboga chumvi Duuuuh😭😭😭😭
2025-09-02 19:33:58
15
Hussen :
kweli umeaso kak mkubwa ,...😭😭
2025-09-03 19:28:24
7
Abidi mje$h⛎ :
ulikua mtufudenge
2025-09-02 14:12:02
11
Anold.. :
sad...motive ..but true..situation
2025-09-02 17:36:07
7
DAX the finest%^..? :
kumamake anayesema doto kaongea big up point tujuane apa duu😂😂
2025-09-03 08:19:18
7
ARAFAT I KASU :
maneno yabusara kabissa
2025-09-02 17:48:20
17
waliya33 :
kikubwa dua2 bro mungu ndo ajuaye kesho ye2
2025-09-02 13:44:55
7
Justine_fit_TZ :
So sad 😤😢
2025-09-02 07:12:49
7
RâmîzØ.mselâ :
Kwa heshima 🫡 kaka akuna anaejua kesho yake kaka waliokuzalau wote asaiv wanaitaji msaada kwako na kukuona mwema kaka Tuishi nao Kwa Akili Tuu.
2025-09-02 19:18:50
7
Shaban Said :
wasomi Hi😅😅
2025-09-02 06:42:44
10
MISUNJO :
mtu sio nyau🔥😁
2025-09-04 17:36:55
4
kabo :
Usilie Doto Mungu Fundi😳
2025-09-02 18:22:08
5
0CHU GAAN :
Ili usife mara mbili, usirudi kwa wale waliokuangusha siku moja 🖤
Kuna siku nasubili nitoe Ushuhuda 😭😭Acha niendelee kupamban
2025-09-03 08:56:08
4
kontawa bright45 :
sahihi
2025-09-12 16:58:31
1
OCHU 88 Tz :
@vicent minja:Mi kaniambia twende tukafanye kazi,
mi mwenyewe mtu wa kazi,
sina hela niache kazi,
siwezi nikaacha kazi,
kwa hiyo huna kazi au huna hela?
Hela sina kazi sina😂😂
VINA VIMEZINGATIWA.
2025-09-06 06:58:31
1
Jonasi Kabeja :
Mungu kwetu Rafiki akitaka kwa wakati wowote anatenda
2025-09-10 05:44:22
1
To see more videos from user @dottomagari_fam, please go to the Tikwm
homepage.