@aemijne_ije: ظهر كائن معادٍ تحت اسم المستحضر فاستعمر قلعة أمون لانك التي كانت في ملكية أوروفير والد ثراندويل، وأصبحت تُعرف فيما بعد بدول غولدور. وقد شك غاندالف في أن هذا المستحضر ليس سوى ساورون، غير أن الأخير كان في ذلك الوقت ضعيفًا للغاية فهرب إلى الشرق. وبعد مرور أربعة عقود عاد ساورون على هيئة سحابة من الظل ليستقر من جديد في دول غولدور، وهناك أُسر ثرين والد ثورين وهو في المنفى، فتعرّض للتعذيب وسُلب خاتمه، غير أنه التقى بغاندالف وعهد إليه بالخريطة والمفتاح. في تلك الأثناء خطط ساورون للتحالف مع التنين سموغ لقرب دول غولدور من إيريبور، لكن غاندالف عمل على كسر هذا التحالف عن طريق الأقزام. ومع تصاعد الخطر، وافق المجلس الأبيض على شن هجوم على دول غولدور، فانكسر ساورون وغادر إلى موردور، تاركًا وراءه خامول واثنين من النازغول ليقودوا هجمات متكررة على ميركوود، غير أن ثراندويل نجح في صدّها جميعًا. #Sauron #Annatar #LordOfTheRings #DarkLord #ringsofpower

𝙽𝙾 𝙾𝙽𝙴
𝙽𝙾 𝙾𝙽𝙴
Open In TikTok:
Region: DZ
Thursday 04 September 2025 11:26:50 GMT
41834
1798
22
68

Music

Download

Comments

brazilixxxx
whiteXxX :
مستحضر الارواح هو ساورن
2025-09-04 11:56:31
7
mersh224
mersh9457 :
اسم الفلم؟
2025-09-04 14:18:22
0
cdex16
شَرَفُ | الدِّين :
كنت ارى ان المسلسل لا يرتقي لمستوى الافلام لاكن عندما شااهدته وشاهدت حكمة وخداع ساورون عرفت انني امام اعظم شخصيات الشر في تاريخ المسلسلات والافلام
2025-09-14 07:51:22
0
hafida2112
Hafida :
ساورون The eye
2025-09-04 11:29:25
5
pop.bola2
Pop Bola :
ساورون أعظم شرير كان الشخصية المفضله من ساعه ما اتفرجت على سيد الخواتم و أنا صغير
2025-09-04 16:48:57
1
zina_lo
الحٰـَــــވࢪا۶ زيـــטּــب\\ :
يمتة يكملون المسلسل؟
2025-09-13 17:35:42
0
.cb741
حمودي ᷂براثيون 𓅃 :
مبدع قلبي 🔥🔥🔥
2025-09-04 11:29:26
0
ffaarreess3
Feres 🇵🇸🇹🇳 :
ساورن ☠️
2025-09-06 04:50:37
0
qiffl
🗿 :
اللقطه الثانيه ماشفتها ب الافلام ؟؟
2025-09-04 14:33:24
0
moh.ik2
Mohmed 39 :
💚💚💚
2025-09-05 18:29:12
0
mma422d
محمد :
😁
2025-09-05 15:01:18
0
darth_mauul
Khalil :
🔥🔥🔥
2025-09-04 12:15:36
0
To see more videos from user @aemijne_ije, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali yake itaendelea kuboresha huduma za afya na elimu wilayani Uvinza na mkoa wa Kigoma kwa ujumla endapo atapewa ridhaa ya kuongoza kwa muhula wa pili. Akihutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo Jumamosi, Septemba 13, 2025, Uvinza mkoani Kigoma, Dkt. Samia amesema tayari serikali imejenga Hospitali ya Wilaya, kuongeza vituo vya afya na zahanati nyingi sambamba na kuboresha upatikanaji wa dawa kwa kiwango cha juu. “Tumefanikisha upatikanaji wa dawa kwa asilimia 91 ndani ya wilaya hii. Hii maana yake ni kwamba wananchi hawalazimiki tena kuambiwa wakatafute dawa nje ya hospitali. Mkakati wetu tunapokwenda mbele ni kuanzisha majaribio ya mpango wa Bima ya Afya kwa Wote, na tukifanikiwa vizuri, mpango huu utaenea nchi nzima,” amesema. Aidha, Dkt. Samia ameahidi kukamilisha ujenzi wa jengo la mama na mtoto katika hospitali hiyo na kujenga kituo cha afya Kazuramimba ili kukidhi mahitaji ya wananchi kutokana na ongezeko la watu. Kwa upande wa elimu, Dkt. Samia amesema zaidi ya shilingi bilioni 13 zimetumika kuboresha elimu ya msingi ikiwemo ujenzi wa shule mpya za msingi 34 zilizowezesha kufikia zaidi ya asilimia 100 ya udahili wa wanafunzi. Pia zaidi ya shilingi bilioni 19 zimetumika kujenga shule za sekondari na kuongeza idadi ya shule hizo kufikia 31. “Kwenye eneo la ujuzi, tumewekeza shilingi bilioni 2.8 kukamilisha ujenzi wa chuo cha mafunzo ya ufundi stadi (VETA) na kuboresha mazingira yake ya kujifunza. Pia tutaendelea na ujenzi wa kituo cha walimu hapa Uvinza na kusimamia mpango wetu wa elimu bila ada kuanzia chekechea hadi sekondari,” amesisitiza Dkt. Samia. Dkt. Samia amewaomba wananchi wa Uvinza kumpa ridhaa ya kuendelea na urais ili kukamilisha miradi hiyo na kuendeleza mafanikio yaliyopatikana katika miaka mitano iliyopita. . . Endelea kufuatilia @selphix_media kwa Habari Zaidi  #uchaguzimkuu2025 #kampeni #samiasuluhuhassan #chamachamapinduzi  #selphix_media
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali yake itaendelea kuboresha huduma za afya na elimu wilayani Uvinza na mkoa wa Kigoma kwa ujumla endapo atapewa ridhaa ya kuongoza kwa muhula wa pili. Akihutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo Jumamosi, Septemba 13, 2025, Uvinza mkoani Kigoma, Dkt. Samia amesema tayari serikali imejenga Hospitali ya Wilaya, kuongeza vituo vya afya na zahanati nyingi sambamba na kuboresha upatikanaji wa dawa kwa kiwango cha juu. “Tumefanikisha upatikanaji wa dawa kwa asilimia 91 ndani ya wilaya hii. Hii maana yake ni kwamba wananchi hawalazimiki tena kuambiwa wakatafute dawa nje ya hospitali. Mkakati wetu tunapokwenda mbele ni kuanzisha majaribio ya mpango wa Bima ya Afya kwa Wote, na tukifanikiwa vizuri, mpango huu utaenea nchi nzima,” amesema. Aidha, Dkt. Samia ameahidi kukamilisha ujenzi wa jengo la mama na mtoto katika hospitali hiyo na kujenga kituo cha afya Kazuramimba ili kukidhi mahitaji ya wananchi kutokana na ongezeko la watu. Kwa upande wa elimu, Dkt. Samia amesema zaidi ya shilingi bilioni 13 zimetumika kuboresha elimu ya msingi ikiwemo ujenzi wa shule mpya za msingi 34 zilizowezesha kufikia zaidi ya asilimia 100 ya udahili wa wanafunzi. Pia zaidi ya shilingi bilioni 19 zimetumika kujenga shule za sekondari na kuongeza idadi ya shule hizo kufikia 31. “Kwenye eneo la ujuzi, tumewekeza shilingi bilioni 2.8 kukamilisha ujenzi wa chuo cha mafunzo ya ufundi stadi (VETA) na kuboresha mazingira yake ya kujifunza. Pia tutaendelea na ujenzi wa kituo cha walimu hapa Uvinza na kusimamia mpango wetu wa elimu bila ada kuanzia chekechea hadi sekondari,” amesisitiza Dkt. Samia. Dkt. Samia amewaomba wananchi wa Uvinza kumpa ridhaa ya kuendelea na urais ili kukamilisha miradi hiyo na kuendeleza mafanikio yaliyopatikana katika miaka mitano iliyopita. . . Endelea kufuatilia @selphix_media kwa Habari Zaidi #uchaguzimkuu2025 #kampeni #samiasuluhuhassan #chamachamapinduzi #selphix_media

About