@robertbonifacekag:

Robert B.Kagali
Robert B.Kagali
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 04 September 2025 18:02:28 GMT
435822
9893
230
716

Music

Download

Comments

user4349815227699
d, freezer ⚽ :
hamna lolote apoo wanajitengenezea mashambuliz wenyew Ili wasingizie ccm😁😁😁
2025-09-05 06:13:22
8
mwanaumemiaka100
Nakupenda hb :
Tunajua huyu alishambuliwa na mizimu yaukoo wake ili apate msaada wa serikali sisi watanzania hatuna hela zakupoteza bure eti mtu kajifyatua akili😅😅
2025-09-05 02:01:15
3
eusticesekilango
eusticesekilango :
POLE SAANA DUNIA MAPITO MALIPO NI HAPA HAPA DUNIANI, MUNGU ATAKULIPIA TU, MUNGU AKUPONYE KILA WKT
2025-09-07 23:05:25
0
raidaog
RAIDA 🦋 :
kama akufa pale bado yupo yupo sana
2025-09-05 06:20:22
10
msbutterfly228_gilmcom
missmysol❤️💋💋 :
huu ni uongo
2025-09-05 05:52:05
1
shepe_29
MENEJA🙏😇😊 :
Lissu kuwa uhai sasa ni miujiza ya Mungu kweli😭
2025-09-04 21:09:09
26
ushakijr
ushaki🏹 :
ila dereva alisema wewe ulikuwa hujui na hajakuambia kuwa mnafatiliwa....
2025-09-04 21:40:32
8
mr.c_llin4.7
._Collin :
sio kwa ubaya ila ni wazo langu tuu si alikua kweny v8 kwanini dereva asingeondoa gari wakaend sehem ingine salama
2025-09-05 05:02:17
6
user4303568813771
Mramosmooh :
wengine tulipigwa mishale ya shingo bado hatukuongea
2025-09-08 11:12:33
0
norbertkagali
norbertkagali :
siyo kwamba hawawezi kupatikana bali serikali ya awamu ya tano ilihusika tukirejea kauli ya mwendazake kuhusu vita ya kiuchumi.
2025-09-05 12:37:42
9
rinus1984
rinus :
TUNDU LISSU will be great leader sometime
2025-09-05 05:17:47
12
user4193843248621
Twaha :
risasi moja imekula sikio la trump na kuua mlinzi wake iwe 16 zishindwe ilitakiwa mlengwa awepo tuanzie upelelezi ila hakuwepo...
2025-09-05 09:17:17
4
nzukidotto
Nzuki Dotto :
wangap tunapa kula tujuane😁😁😁
2025-09-05 00:14:34
3
user26831776150250
Agy001 :
nataman mwaka huu chadema waongoze
2025-09-06 20:17:52
2
firuc745
Firu C :
Msihangaike sana ni mimi nilie fanya hivyo
2025-09-05 10:05:27
0
zanhiyah
zanihyaah 1 :
muendekezo plz
2025-09-05 11:12:59
1
user4466719290602
kudra :
Ndo ile kitu Ney anakuambia wanaokuja kukuteka wanakuj kama polisi na polisi wanapewa kazi ya kumtafuta polisi 🥰🥰🥰
2025-09-05 22:06:58
2
chiwunu_1
chiwunu_1 :
Kijo anauliza wakati anajua washambuliajiii
2025-09-05 15:09:47
3
bantunaikushomo
BantuNailoOmoCush :
Hawajapatikana kwasababu ni wanamtandao
2025-09-05 14:37:52
7
annastazia22400
[email protected] :
walidhamiria kumuua kabisa jamani Mungu anaishi siku zote
2025-09-05 13:00:44
3
fred37424
Fred :
Mpaka sasa iko wazi waliomshambulia Lissu ni ccm mtandao na walilifanya hili kumhujumu Magufuli aonekane dikteta na muuaji na walifanikiwa kuwaaminisha watu wengi hiyo kitu ila wenye ufahamu tulijua kuna namna hapa na sasa Polepole amewaonyesha ni nini kilikua kinaendelea chini kwa chini dhiti ya utawala wa Rais Magufuli
2025-09-06 08:34:55
2
user832743384321
Nicholous Sakozy :
Laana ziwapate huko waliko!
2025-09-05 11:35:26
5
benjaminjohn877
benjamin john877 :
Inatia hasira sana,pole sana kiongozi
2025-09-05 04:18:50
6
fredfred9702
amin :
haw wana habar n washamba.walimshambulia kutok upand gan nyuma au mbele .wange muuliza hivyo. sasa yamezubaa kam muvi anatafsir dj maki .pimbi hao.
2025-09-06 20:58:26
0
kayongooba7gmail
[email protected] :
pole Sana raisi wetu
2025-09-05 04:11:02
3
To see more videos from user @robertbonifacekag, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About