@siasatz: Rostam anasema Watanzani tunafurahia wageni wakifanikiwa kuliko wenyewe kwa wenyewe, Tunasherehekea umasikini kwa kuamini kwenye kushushana kuliko kuinuana. Je, Tuna roho mbaya? #SiasaTZ #SiasaZetu #Rostam

siasazetu
siasazetu
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 06 September 2025 09:44:33 GMT
14626
568
86
26

Music

Download

Comments

persianking55555
persianking55555 :
Watanzania wengi tumelelewa katika mazingira ya chuki,,, Kuanzia kwenye familia zetu ukiona ndugu yako kafanikiwa familia nzima mnamchukia na kupambana kumshusha..Ndio nature ya watanzania wengi tangu wanazaliwa na kukua wengi wamelelewa kuchukia watu waliofanikiwa
2025-09-06 12:19:00
11
user5153706079095
naima seif :
mmemuua JPM na wewe unahusika
2025-09-06 14:26:20
1
user3069783170985
RWay :
Kweli tunasheherekea mtu kujiita mnyonge sisi ni watoto wa wanyonge chuki tu kwa matajiri tunataka ashuke🤣🤣
2025-09-06 15:16:46
0
emilius.kipinga
Emilius Kipinga :
Kwer kabisa 5 tena
2025-09-06 10:21:47
4
chipo4032
chipo :
hakika
2025-09-06 10:17:26
5
halimaomar771
Halima :
sisi tumejawa na chuki sana kama huyu jamaa angekuwa mzungu watu wangekuwa kimy ila ni mtanzania bc chuki zisizo sabb
2025-09-06 12:14:37
8
emmmanuelndoto5
@abely :
kwani we ni mtanzania kweli? au acha na Tanzania we kwenye African speaking language group lako ni lipi au we kabila gani?
2025-09-06 10:24:25
2
morepire
Moreover spirity :
hamna kitu apa hyu kaja kujipanga kuongea hvyo me najua rostam wew umekuwa kutuibia kwann biashara zako unazifungafunga unaalika nchi za nje kuja kuwekeza kumbe upo nao kujiunga kutuibia me najua
2025-09-06 10:30:33
2
moshedayan438
moshedayan77 :
tumeshaanza kukuelewa kuwa wewe ni ccm mtandao
2025-09-06 14:27:01
0
said.sishing
Said Sishing :
umesema kweli comred rostam
2025-09-06 09:53:20
6
endihaston
endihaston :
unazani atujui bc ni kuiga tu mkumbo wa wakubwaa zetu wakitujaza sumu bc tunalipuka yani unakuwaa maskini 20 wamekaa sehem moja kuwasema matajii wa2 tu yuleee yuleee akiamungu kiukweli ili loho chafu litutoke kwakweli
2025-09-06 11:51:50
4
masoudabdallah627
masoudabdallah627 :
fact👍👍
2025-09-06 10:43:19
3
everythng255
Everything :
Kemea chuki za kisiasa yaliopita yameshapita iwe kweli iwe uongo #POLEPOLEINATOSHA.
2025-09-06 14:01:49
1
ashubarbosa2
Ashu Barbosa :
mi 5 tenaaaaaa maneno mazito
2025-09-06 13:27:13
0
abdisalam.jamal
Abdisalam Jamal :
Muwezekaji wa kitanzania ni maendeleo ya nchi kuliko muwezekaji kutoka nje ya nchi kwani faida anayopata anaipeleka kwao Rostam ni mchumi anachokizungumza ni ukweli mtupu.Tuache tusi sikilize wachochezi hawapendi maendeleo ya nchi yetu.
2025-09-06 11:11:19
1
darprintingandstationery
darprintingandstationery :
Nakubali
2025-09-06 10:44:20
2
engin_znt
alt :
Tuna husda, nature yetu hio
2025-09-06 11:03:28
1
meja1gaming
mejagaming :
huyu baba anaakili sana huu wote ni ukweli mnoo kuna watu wengi hawapendi mafanikio ya mtu na hata mipango mizuri wanatamani iwe yao
2025-09-06 10:17:01
6
piccasoshoots
piccasoshoots :
Umasikini na Chuki 😤
2025-09-06 11:53:01
1
vooo410
vooo :
mwizi mkubwa
2025-09-06 14:44:31
1
abellanovath
abella :
watanzania wengi awapendi ukweli chuki ,ubinafsi na wivu,kulalamika hovyo ndo umasikini wenyew
2025-09-06 13:51:20
1
mukhtarashraf566
mukhtarashraf566 :
The 🐐✅💯
2025-09-06 10:20:24
2
hlmo05
hlmo :
mm sijui je unalipa kodi inavyotakiwa kama wanavyokutuhumu ?
2025-09-06 11:43:54
1
faustine_cee
Ceefaustine :
ndani gani????
2025-09-06 10:44:09
1
anganile94
Anganile :
kataa wahuni shtuka
2025-09-06 10:46:29
2
To see more videos from user @siasatz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About