@little.tenshi_cosplay: You never shut your mouth?? #wanderergenshinimpact #fyppppppppppppppppppppppp #vkeifyp #little_tenshi #cosplayer #scaramouchecosplay #scaramouche #GenshinImpact #fyp #vkei #xyzcba #scaramouchegenshinimpact #foryoupage #foryou

📨꒰ঌ𝓛𝓸𝓼𝓽 𝓐𝓷𝓰𝓮𝓵໒꒱📨
📨꒰ঌ𝓛𝓸𝓼𝓽 𝓐𝓷𝓰𝓮𝓵໒꒱📨
Open In TikTok:
Region: FR
Saturday 06 September 2025 10:06:50 GMT
421
86
6
1

Music

Download

Comments

klinklang_601
gold🐈‍⬛🎡 :
UR DIVINE WHAT...
2025-09-06 10:20:50
2
_im_a_ghost
Jasper :
I love your piercings!!
2025-09-06 10:14:28
1
hantalexus
Olyver :
❤️❤️
2025-09-06 12:22:23
1
To see more videos from user @little.tenshi_cosplay, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Ukitaka kuingia kwenye biashara ukidhani ni njia rahisi ya kupata pesa haraka utakimbia mapema. Biashara inakuhitaji ujitoe, uamke mapema, ulale ukichelewa, ubebe mizigo ambayo wengine hawataki kubeba, ukutane na kukataliwa, ushindane na watu wanaojua zaidi yako… lakini yote hayo yanaandaa maisha ambayo wengi hawatawahi kuyaishi. ✅ Biashara si ya watu wanaopenda kukaa, kulalamika na kusubiri miujiza  ni ya watu wanaoamka na kuunda miujiza yao wenyewe. Biashara inakufundisha kuvumilia kushindwa, kuanza tena, kubadili mbinu, na kutafuta njia mpya kila siku. Hapo ndipo nguvu zako halisi zinapojitokeza. ✅ Lakini pia ukweli ni huu: ajira ni ya wavumilivu. Kwenye ajira unahitaji uvumilivu mkubwa  kuvumilia maamuzi ya wengine, kuvumilia malipo madogo ukiwa na ndoto kubwa, kuvumilia utaratibu ambao hauko mikononi mwako. Hiyo ndiyo sababu ajira inalipa wale wanaoweza kusubiri kwa miaka mingi wakipanda ngazi hatua kwa hatua. ✅ Hivyo chagua upande wako vizuri: 	•	Kama una nguvu ya kupambana, kushindwa na kusimama tena biashara ni uwanja wako. 	•	Kama una uwezo wa kusubiri taratibu, kuwa mwaminifu kwa mfumo na kupanda hatua polepole ajira inaweza kuwa njia yako. Lakini kumbuka, dunia inawapa thawabu wale wanaothubutu zaidi. Biashara haimhitaji aliye bora, inamuhitaji asiye mvivu. ✅ Tutaanza 1/10/2025 hadi 7/10/2025, nimeandaa mafunzo maalumu kwa waajiriwa wanaotaka kujifunza biashara. 📘 Wale watakaojiunga na mafunzo watapokea kitabu changu cha siri za waajiriwa bure, ili kujua zaidi jinsi ya kuanza na kukuza biashara bila kuacha ajira yako. 💻 Mafunzo yataendeshwa kupitia group, ukijifunza hatua kwa hatua na ukiwa na msaada wa moja kwa moja. ❌Ada ya kuingia group: 	•	Kuingia kuanzia leo ni Tsh 10,000 	✅✅•	Lakini ikifika 28/09/2025, itapanda hadi Tsh 15,000 📣 Usikose! Watarifu watu wote unaowafahamu ni waajiriwa ili nao wapate nafasi hii ya kipekee ya kujifunza mwaka huu. 📲 Jinsi ya kuingia kwenye group: Andika neno MUAJIRIWA kwenda WhatsApp 0653993171 ili upate utaratibu zaidi. 🤝 Karibu mwajiriwa, ujikwamue na utengeneze mikondo mingine ya kipato nje ya ajira.
Ukitaka kuingia kwenye biashara ukidhani ni njia rahisi ya kupata pesa haraka utakimbia mapema. Biashara inakuhitaji ujitoe, uamke mapema, ulale ukichelewa, ubebe mizigo ambayo wengine hawataki kubeba, ukutane na kukataliwa, ushindane na watu wanaojua zaidi yako… lakini yote hayo yanaandaa maisha ambayo wengi hawatawahi kuyaishi. ✅ Biashara si ya watu wanaopenda kukaa, kulalamika na kusubiri miujiza ni ya watu wanaoamka na kuunda miujiza yao wenyewe. Biashara inakufundisha kuvumilia kushindwa, kuanza tena, kubadili mbinu, na kutafuta njia mpya kila siku. Hapo ndipo nguvu zako halisi zinapojitokeza. ✅ Lakini pia ukweli ni huu: ajira ni ya wavumilivu. Kwenye ajira unahitaji uvumilivu mkubwa kuvumilia maamuzi ya wengine, kuvumilia malipo madogo ukiwa na ndoto kubwa, kuvumilia utaratibu ambao hauko mikononi mwako. Hiyo ndiyo sababu ajira inalipa wale wanaoweza kusubiri kwa miaka mingi wakipanda ngazi hatua kwa hatua. ✅ Hivyo chagua upande wako vizuri: • Kama una nguvu ya kupambana, kushindwa na kusimama tena biashara ni uwanja wako. • Kama una uwezo wa kusubiri taratibu, kuwa mwaminifu kwa mfumo na kupanda hatua polepole ajira inaweza kuwa njia yako. Lakini kumbuka, dunia inawapa thawabu wale wanaothubutu zaidi. Biashara haimhitaji aliye bora, inamuhitaji asiye mvivu. ✅ Tutaanza 1/10/2025 hadi 7/10/2025, nimeandaa mafunzo maalumu kwa waajiriwa wanaotaka kujifunza biashara. 📘 Wale watakaojiunga na mafunzo watapokea kitabu changu cha siri za waajiriwa bure, ili kujua zaidi jinsi ya kuanza na kukuza biashara bila kuacha ajira yako. 💻 Mafunzo yataendeshwa kupitia group, ukijifunza hatua kwa hatua na ukiwa na msaada wa moja kwa moja. ❌Ada ya kuingia group: • Kuingia kuanzia leo ni Tsh 10,000 ✅✅• Lakini ikifika 28/09/2025, itapanda hadi Tsh 15,000 📣 Usikose! Watarifu watu wote unaowafahamu ni waajiriwa ili nao wapate nafasi hii ya kipekee ya kujifunza mwaka huu. 📲 Jinsi ya kuingia kwenye group: Andika neno MUAJIRIWA kwenda WhatsApp 0653993171 ili upate utaratibu zaidi. 🤝 Karibu mwajiriwa, ujikwamue na utengeneze mikondo mingine ya kipato nje ya ajira.

About