muwe na amani mwanangu mwana harakati sana, na hii video nimeambiwa kituo Cha Mafuta kisasa nimeona video ya gari Yako ndoo nikacheki kumbe kweli nalekebisha now.
2025-09-07 20:09:40
18
mr vikal :
watu wa sstm ao
2025-09-08 17:21:46
0
frank haji :
eeh kumbe nilikufungia vibaya embu rudii chap apaa
2025-09-08 12:34:27
1
Bryan mendez :
akipigwa atasema mbona
2025-09-07 17:42:08
18
FOGO 🔥 :
Kila mtu atachanganyikiwa kwa wakati wake 😀👐
2025-09-07 16:22:01
16
official bizzy :
Anamanisha hutakiw kueleweka kabisa🤣
2025-09-08 13:23:17
1
King MAFIOSO :
Bongo Kila mtu anaishi vile atakavyoo😂😂
2025-09-08 07:12:07
8
@vula_man :
hakuna kueleweka
2025-09-08 17:16:33
0
BMW LEGEND😈 :
hapo usikute hio gari anaendesha mwanamke
2025-09-07 17:25:48
0
Mwananchi wa Kawaida :
wakati fundi anabadilisha number plate alikuwa kalewa chakariii😂
2025-09-07 17:36:55
6
MJ Michael :
icho ndio kizungu mkuti👀
2025-09-07 23:47:31
2
@Officialmissingi :
ili traffic aweze kusoma iyo lazima nayy awe kichwa chini miguuu juuu🤣
2025-09-07 23:16:33
3
dadamkubwaa1 :
ukute ni mlevi mwenzetu
2025-09-07 17:40:09
2
KEVOo :
Hii dunia lazima kuna mahali imetóboka.
2025-09-08 07:56:47
2
ikilam jamali :
Yani maisha yako yanatakiwa yawe kam iyo namb ya gar wachanganyikiwe 😂😂
2025-09-08 14:44:45
1
suddy brownn :
Hii lnchi kuna vichwa vibovu vingi sana yn 😂😂
2025-09-08 15:36:39
1
🅱️🅰️🅱️🅰️🔷️R🅰️Y🅰️🇹🇿 :
Mnatutafuta wenyewe.
2025-09-08 12:05:27
0
𝐇𝐄𝐑𝐈 :
traffic mpka wawe na makengeza mwaka huu
2025-09-08 06:16:03
1
Digital Πinja 🥷🏽 :
watu wa system😅
2025-09-08 12:26:21
0
bingwa.la.magari.arusha1 :
Au ni dunia imegeuka 😂
2025-09-08 04:58:32
1
calvin :
daah ilaa bongoo 🤣🤣
2025-09-07 20:00:17
2
adilsailor26 :
Walio Geuza Simu Ili wasome Gonga Like haoa😂
2025-09-08 08:42:51
0
Baraka M njumba :
Nchi ya uhuru
2025-09-08 12:28:52
0
ᏀᎧᏝᎴᏋᏁ ᎻᏋᏗᏒᏖ my game 28/9/2025 :
olleH
2025-09-08 14:14:08
0
To see more videos from user @dodoma_view, please go to the Tikwm
homepage.