@kuku_chapchap: Ki ukweli kwa sasa kuku wa Mayai kwa Tanzania kwa huu mwaka 2025 ni moja sekta ya ufugaji ambao umepanda sana kwa takwimu zangu za haraka haraka. Ni fursa nzuri sana kama utaifanya kwa uweledi mkubwa kwa kuwatumia wataalamu. @kuku_chapchap tupo hapa kukushika mkono kukupa mwingizo sahihi kupelekea kwenye kupata mavuno mazuri katika ufugaji wako. Kwanza tutakupa mbegu nzuri ya kuku kisha tutakupa usimamizi wa bure kwa mwaka mzima for free. 📍Tunapatikana Dar es salaam, Kimara Temboni. Call/SMS/WhatsApp: +255 719 882 004 #fugakuku #fugakukukisasa #fuganakukuchapchap #kukuchapchap #kukuchapchaptips