@samsonmbembela: Huna Pesa ya Kutangaza Matangazo ya Sponsored Ads Mtandaoni? Tumia Jukwaa hili la Market Place la Facebook Kujitangaza Bure Kabisa, Hapa nakuwekea Tips itakayokusaidia Kuuza na Kupata Wateja Wengi. Ukiuza Usinisahau Ndugu Mfanyabiashara, Je, Umeipenda hii Tips Nipe Maua Yangu. #ThinkDigitalThinkOfUS #FacebookMarketPlace #MarketPlace
Samahani na vipi kuhusu Instagram account yako imekataa kuwa connected na Facebook uwezi Lipia matangazo unless ufungur account nyingine inawezekana ikarekebishwa then. Nilipie kupitia hiyo account kwa sababu watu wengi kule kuliko account nyingine naona watu wanashuka inanipa stress kwel😢
2026-03-27 07:46:41
1
Lilly store 88 :
Sawa mwalimu mimi naenda jaribu leoleo
2025-09-15 15:50:49
3
Nyau😻🖤 :
this is so good 🔥🔥🔥thank you let me give it a try
2025-09-08 16:04:37
4
shufaa :
ndio natumia inanisaidia
2025-09-21 14:32:06
5
Soko Huru Market :
umenipa plan b😂😂
2025-09-14 14:46:28
2
Itsalma :
asante sana umetusanua 😂
2025-09-15 14:10:09
1
MASHUKA BEI POA :
Hello
2025-09-13 01:51:58
1
Johnnie⚡️⚡️ :
kiongozi mm niliweka product yangu hapo kwenye market lakin likakataliwa kwanini?
2026-01-30 15:33:59
0
Rubbys abaya :
Mwalimu wangu mm shida yangu ni tiktok, nikitaka kufanya tangazo naweza kuwa na balance ya 6000 then nanunua coins labda za elfu 12 nikitaka kurusha tangazo labda lenye cost ya elfu 15 naambiwa balance haitoshi shida iko wapi?