@machingatvtz: Mgombea ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Clayton Chipando (Baba Levo) , ameonyesha upekee katika siasa baada ya kuwapa wananchi nafasi ya kumuuliza maswali moja kwa moja wakati wa mkutano wake wa kampeni. Katika mkutano huo uliohudhuriwa na mamia ya wakazi wa Kigoma Mjini, Baba Levo aliwataka wananchi wasisite kuuliza maswali yoyote bila kujali ukubwa au uzito wake. Hatua hiyo ilileta msisimko mkubwa ambapo wananchi walitumia nafasi hiyo kumuuliza maswali magumu kuhusu ajenda zake, maendeleo ya vijana, huduma za jamii, pamoja na namna atakavyoshirikiana na wananchi iwapo atachaguliwa. Akiwa jukwaani, Baba Levo alijibu hoja zote kwa uwazi, akisisitiza dhamira yake ya kusimama bega kwa bega na wananchi katika kutatua changamoto zinazowakabili. “Nipo tayari kuwasikiliza, changamoto zenu ndizo dira yangu ya kufanya kazi,” alisema huku akishangiliwa na wafuasi wake. Wananchi waliohudhuria walieleza kufurahishwa na ujasiri wa mgombea huyo wa CCM kuruhusu maswali ya moja kwa moja, wakisema ni ishara ya mwanasiasa anayetaka uwazi na mshirikiano wa kweli na wapiga kura wake.

Machingatv
Machingatv
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 10 September 2025 05:03:16 GMT
591397
26454
1594
967

Music

Download

Comments

nasatymeyraaj
Nããh💋💕🦋 :
Mbona anapaniki 😅😅😅 anafikiria kusafiri nje ndio kujua kizungu
2025-09-10 07:17:34
117
queenessty16
KUKU KISHINGO🫦 :
Uyu kigoma mkimchagua mtakuw mmegoma kimaisha
2025-09-10 06:23:36
131
user9967528758550
. :
Tanzania na kingereza nisawa na wanaume na kuoga maji 😅😅
2025-09-12 04:42:03
0
rugamkali
RUGA :
pesa za miradi atakwenda kubetia🤣
2025-09-10 05:53:48
538
chazzyric
chazzy 💀 :
Mgombea aanafokea wananchiiii 😂😂😂
2025-09-10 12:26:10
34
patrick.peter054
Patrick Peter05 :
huna uwezo wa kujibu maswali
2025-09-10 05:48:09
371
lygro.beiby
Lygro Beiby :
huyu anamwaga sera au anachamba😏😏😏
2025-09-10 08:06:45
123
_dexter_codm
DEXTER_COD🇹🇿🦅 :
Muheshimiwa Baba levoo
2025-09-10 06:40:41
122
abdulmajid.mussa
abdulmajid mussa :
Hapo hamna Mbunge
2025-09-12 03:48:02
0
diamilytz
diamily tz :
😂😂😂😂Baba levo kama mjinga lakni akili nyingi sana mfatilie Hutuba yake ya kipindi alikuwa diwani
2025-09-10 06:06:54
39
baraka_rich
BARACK😎☠️ :
swali langu🙏💗
2025-09-10 06:09:11
196
its.aziz74
Azizi mwatika🫂 :
Anatumia nguvu kujielezea means akili yake ndogo buanaaa
2025-09-10 06:09:38
141
squishy_boy96
Squishy_boy96 :
sema babalevo anasifa sana😂😂😂😂😂
2025-09-10 07:14:36
18
user2818842979231
الله العظيم :
wakenya wasione hii tumekwisha 😅😂🤣
2025-09-10 06:55:08
4
seif_the_great69
Seif The Great♑️ :
Pesa za miradi zitaenda kwa muhindi 😂😂
2025-09-10 08:00:54
7
monymollel
Auntie MOMO :
Baba Levo to the world 🔥🔥🔥
2025-09-10 07:54:26
7
poshytinnoh
poshytinnoh :
Maswali gani hayo kakijingaa kama muheshimiwa wao😂😂
2025-09-10 05:59:15
8
mahadhi.muhaji
Mahadhi Muhaji :
kuna wajinga wengi Sana sasa...Luga yataifa kiswahili Sasa...na bungeni wanaongea kiswahili ...alafu unauliza utumwa
2025-09-10 09:59:55
15
dossazeroseven_07
dossa Zeroseven_07 :
wale wa 10/10?
2025-09-10 09:29:54
20
yunusy255
Yunus🫥 :
Kashaanza kusikiliza kelo za wananchi na hajapita🤣😂😂😂😂
2025-09-10 06:58:44
48
raynex180
raynex180 :
mkimpa huyu,hela za miradi anaenda kumalizia nyumba yake
2025-09-10 09:15:29
32
alwatan8877
kamikaze drones :
Mm sio nabii huyu anaenda kugombana selikar
2025-09-10 06:11:40
34
kibwasali
kibwasali :
huyo bado sio mheshimiwa ni mgombea ila waha bhn
2025-09-10 05:54:18
35
user6176874525799
user6176874525799 :
Muulizeni Kwa kingeleza msimuache😂😂😂
2025-09-10 06:11:40
48
edufaustn
edufaustn :
ila tanzania na kiingereza😁😁😁😁😁😁😁..
2025-09-10 06:11:47
18
To see more videos from user @machingatvtz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About