@nurunaimani: Surah Hud || Ayah 9-11 Quran inamwangalia mtu kulingana na itikadi yake na tabia yake; kile anachokiamini na kile anachokifanya. Mtu anahukumiwa kuwa ni mwema pale anapokuwa mwema na anahukumiwa kuwa ni mwovu pale anapokuwa mwovu. Kwa hiyo anapoambiwa mtu ni kafiri ni kutokana na vile alivyo kwa mwendo wake na tabia zake alizojifunza; sio kuwa mtu ameumbwa hivyo. Ndio maana akawavua Mwenyezi Mungu wenye subira, akasema: isipokuwa wale waliosubiri; kama ambavyo mahali pengine mtu anazungumziwa kwa heshima; kama vile katika (17:70). Vinginevyo ingelikuwa kuadhibiwa ni dhulma. #nurunaimani #quran #nuruyetu #quranrecitation #dailyreminder

NURU YETU
NURU YETU
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 11 September 2025 16:40:01 GMT
3823
528
5
24

Music

Download

Comments

allyabduli195
Ally Abduli :
Amn
2025-09-11 20:02:32
0
user8358130169253
yusuph bwenzi :
Allah akibar
2025-09-11 19:13:53
0
neera7799
Neera :
🥰🥰🥰 Maashaa Allah
2025-09-11 17:07:04
1
user6793936219098
[email protected] :
mashaallah ✨💞
2025-09-11 17:09:36
1
sultan..marshy
sultan..marashy.%%..👮👮👮 :
🌹🌹🌹
2025-09-11 18:54:20
1
To see more videos from user @nurunaimani, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About