@_notminethechoice: #tiktok #tiktoktanzania🇹🇿 #tiktokviral #fyp #viral #tiktokkenya #trend #foryou #foryou#foryoupage❤️❤️ #ccm #chadema #uchaguzi2025 #siasa #foryou #fyp #fyp

African choice 🎤 🎧 🇹🇿
African choice 🎤 🎧 🇹🇿
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 11 September 2025 18:55:24 GMT
56168
2779
88
563

Music

Download

Comments

rebeccamboya1
Rerambo :
sasahv chama kimejaa wahuni tu hamna viongozi
2025-09-12 10:20:45
3
2.5.5tz
Lee Hascan🏴‍☠️ :
J.K.Nyerere J.J.Magufuli
2025-09-11 21:36:25
27
brotherj.one.smith
brother,J one Smith :
huyu ndiyo alikomboa nchi apewe maua yake ,alijua machungu walio pitia watu,na mambo ya udini aliyasema yamejitokeza sasa
2025-09-12 08:40:42
2
thomas.ngemo
Thomas Ngemo~shopify.com :
Mkoa wa MARA mbaka huko jijini MWANZA hatujawahi kutoa viongozi wabovu hasa MARA na haitakuja kutokea tukatoa shoo mbovu.
2025-09-12 07:24:14
2
hasad.isipo.kuuwa
Hasad isipo kuuwa itakumbua n :
kumbe uliona mbali sn baba
2025-09-12 07:16:19
8
user9757558705663
peoples favourite :
uliona mbali baba lakini yupo kikwete anadhalau anataka mtu wake na familia yake utawala wa kisulutani
2025-09-12 04:35:37
9
ramadhani.juma7914
Ramadhani Juma :
kumbe jmp alichukua akili nauzalendo naukweli wa mzee jrs
2025-09-12 06:20:31
3
stans_electrical
STANS@ REAL :
hivi viongozi wetu awafatili hotuba za mwalimu jaman
2025-09-12 05:44:59
22
dan.carpet
Dan carpet :
sikuiz ata katiba ya inch imechukuliwa kama hakina maana
2025-09-12 10:59:53
0
igayo_jr
Igayo Jr :
Viongozi wa sasa wangechagua hata robo na uzalendo wa mwalimu tungekuwa na taifa bora sana. Mungu tusaidie
2025-09-12 09:05:45
1
furahagaudece
furahagaudece :
kweli baba wa taifa
2025-09-12 10:32:43
1
user7931797681508
user7931797681508 :
mabadiliko tyr na yapo mengi san sgr kila kona shule
2025-09-12 10:32:51
1
zookey09
zookey :
mama yake abdul hana credit hata moja
2025-09-12 05:44:25
9
men.abdy
Men Abdy :
nikweli Tanzania wanataka mabadiliko nikweli
2025-09-12 10:16:01
1
obedy.lomnyack2
Obedy Lomnyack :
mambo ni mawili tu j,k, Nyerere na j,p,magufuli akuna mengine
2025-09-12 06:05:22
2
m.w.k1figure
m.w.k1figure :
baba wa taifa bado ni mbeba maono wetu tunamuenz ,mzarendo imara hata aliko kwa baba yetu mkuu🥰🥰
2025-09-12 06:04:01
3
job12emanuel.ayub
Job12Emanuel Ayubu :
Kuna kiongozi na kiongozi bora sifa mojawapo ya kuwa kiongozi bora ni kuwa na hekima ya kutoka kwa Mungu ya kukuweshesha kufikiria na kuona zaidi ya miaka mitano mbele,kwa mfumo huu kila mtu anaweza kuwa kiongozi ila kamwe hawezi kuwa kiongozi bora,ipo nchi yangu itapata kiongozi bora na mzalendo kwa raia wake,nadhani ombi langu ni ombi lako pia,Mungu ibariki Tanzania🙏🙏
2025-09-12 05:37:18
2
hungwe940
hungwe :
Huyu mzee aliona mbali sana
2025-09-12 02:02:53
10
pasco757
pasco757 :
Uyu MUNGU NI waajabu kwel uwez amini mwaka huu sikuwa nimezaliwa na ata sasa nimejifunza kitu
2025-09-12 07:30:04
2
user37714383429437
jozeee :
nyie CCM kusoma msijue na picha nayo msiione kweli?? acheni ubeberu jamani, ifike sehemu mumwogope MUNGU.
2025-09-12 08:51:10
2
lameck3835
lameck :
huyo samia amepuuuza hotuba ya mwalm eti atakiona cha moto atajutia maixha yake yote
2025-09-12 08:27:59
3
_notminethechoice
African choice 🎤 🎧 🇹🇿 :
Tanzania 🇹🇿 yetu ✨
2025-09-11 18:58:59
4
user519772299363
user519772299363 :
teacher,
2025-09-12 10:23:46
1
marko.kivuyo
marko kivuyo :
viongozi waliokua wanajua maana ya ccm
2025-09-12 06:43:11
3
tasher94_
Tasher :
Tumebaki na 🗣️🙂‍↔️mama wa kambo mbona wanitesa sasa naondoka kaa peke yako🥲
2025-09-12 09:03:17
2
To see more videos from user @_notminethechoice, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About