Mm alikuwa nikimgusa ananisukuma tukatangaziwa short call dk kumi akaniuliza et wamesema dk ngapi nikamwambia dk 20 mbona tulimuacha๐๐๐๐๐
2025-09-12 15:49:15
126
officially_retty๐ฅฐ :
Nilichogundua watu wahumu waroho ๐๐๐
2025-09-13 06:43:48
0
Sady๐ :
๐NIMEKUGUNDUA ZILE ASANTE UKIKARIBISHWA NI ZA UONGO๐๐๐
2025-09-12 21:54:01
27
Vivecious :
Kuna aliyesema MISRI STAND YA ZAMANI๐๐๐whyyyyyyy๐๐๐พ
2025-09-12 19:29:35
12
fetty โค๏ธ๐น๐ฟ :
jaman nakumbuka nliwai kukaa na huyo mkak nilienjoy mim we mkak wa watu alkuwa hat sio mchoyo ๐๐ฅฐ tulivofika nkapewa had naul
2025-09-12 19:59:55
7
Mustaffa jr :
Tupo Ukrain tunakaribia mpaka wa urusi ushajiandaa au unakula๐๐๐๐คฃ
2025-09-13 05:45:21
3
Aziz :
kunaile mtu anakulalia uck mzima .mkixha fikat shekilango hataki mazoea tena
2025-09-12 20:40:02
33
Ms_Gyunda :
๐๐๐๐Tuko yordan
2025-09-13 06:32:30
0
Lizzie bethuelyโฃ๏ธ :
tena kuku na kachumbari kaekwa kwenye foil,my dear tupo Madagascar ๐๐๐๐
2025-09-12 17:23:46
48
ROY :
Mdada umekula umemaliza et unaniuliza tunafika sangap "My friend tutafika mwenzi wa 10"๐๐๐๐
2025-09-12 21:24:40
15
hijab girl๐ง๐ฆ :
tnaelekea kanani๐๐๐๐
2025-09-12 13:27:28
97
mart petro :
umekula zako kuku kmy kmy Alf ulipo maliz ndo unaniuliz iv unaenda wap my friend naenda nchi ya ahadi
2025-09-13 01:05:41
10
Zablon Suku๐น๐ฟ๐น๐ฟ :
Inakwaza Sanaaa๐๐๐
2025-09-12 17:03:22
1
Miss Teeh๐๐๐ :
tena watu kama hao hata kalib ya uwongo hawanag ๐คฃ๐คฃ๐คฃ