Mimii ctaki niwaaminishee lakinii kama ukipataa anakupaa furahaa ishii humoo...Mungu sanaa wajemenii maana watesii wengiii
mind you vita ya hisia ni mbayaa sanaa,unakosa utulivuu ata wa ku focus n hataliii
Mungu aanawapendaa msikosee kwenda kanisanii keshoo it's Sunday muombeanee
2025-09-13 17:44:45
133
Joh. :
nyimbo inaitwaje please
2025-09-13 18:31:56
7
wizzyDaddy :
Acha nitunze sirii kaka maana akili imenituma nim-tag kabisa shemeji ila nkaona ntaharibuu 😁😂😂
2025-09-13 10:49:42
8
nuuh :
Kuna wanaume wanajua kupenda jmn
2025-09-13 20:15:01
70
✨ Harmony Home 🛏️ :
:sijui kwa nini nalia 😞😞😞😞nani aje anipende ,nani aje awe wangu 😌😌😌asihitaji tuu kulala na mimi ,,nahitaji kupendwa 😭😭💔
2025-09-13 21:23:52
17
Mr Africa :
kwanini iwe nilikupenda sana isiwe nakupenda sana
2025-09-13 15:50:00
6
saidat saidat :
ukienda geto kwa mushkaji mvua ikinyesha ukawekewa na aka ka nyimbo kwa sauti ya mbali unaliwa shwaaaaaa shwiiiiii shwooiaaaaa😂😂😂😂
2025-09-14 06:46:09
7
@merina435 :
Kuna huyo mpenz wang anantesa nyiee😢😢😢 mpka sasa nimeona bora nishindwe mimi awe huru toka jana nimeona bora nijiongeze awe huru mapenzi nyoko sana
2025-09-13 21:03:48
7
Suzana Mozani :
ndoto yangu nikuwa na mwanaume wakunidekeza kunijali nisahau magumu niliopitia yamenilemeq sana