@msasa_podcast:

MSASA PODCAST
MSASA PODCAST
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 14 September 2025 20:31:42 GMT
28910
1467
186
350

Music

Download

Comments

charlee6185
charlee :
nilichambwa na mama mchungajii kile kichambo hata uswahilin sijawah kukisikiaaa😂😂😂😂😂 mamae yule maza daaah
2025-09-15 12:51:36
12
miriamneneka
Miriam neneka :
Yuko sahihi uelewi kam ujaishii na walokole 🙌
2025-09-15 07:11:51
76
maggiekimea
Maggiekimea :
Kwahiyo ww huwa unaenda kanisani kusali au kuchuguza watu??.......😏 Nenda church Sali ongea na Mungu wako alf endelea na Mambo yako Binti...
2025-09-15 19:06:04
0
toto.chawe
toto chawe :
hahahahha uyu atakuwa aliumzwa na mkak wa praise🤣🤣🤣🤣🤣. o
2025-09-15 17:03:45
3
elibarikimbise
Elly 96 :
ulimpata mpuuzi mmoja bhana mzungumzie huyohuyo usi_generalize
2025-09-15 12:56:50
1
broka_genius
Broka Genius :
huyu sio mzima 😅😅😅
2025-09-14 20:44:33
1
goodluckgodson94
GGM :
Kuna wale wanaojihesabia haki yaani kwa sababu mtu anaingia kanisani kila siku basi nyie wengine wote mnaonekana hamna thamani mbele ya Mungu
2025-09-15 13:01:52
3
lameck_sidy
Lameck Sidy :
shida yenu mnawachukuliaga watu wa kanisani kana kwamba wao ni malaika; ndio maana yanawakuta mambo hayo, yakuwaumiza.
2025-09-15 08:36:48
16
georgelumanga
George Lumanga :
so deep, sad truth😏
2025-09-15 18:58:43
0
godfreymassawe1
White_international :
kanisa gani kua specific your too general 😎
2025-09-15 12:59:23
1
neema.msuya59
Neema Msuya :
nina mengi ya kusema juu ya watu wa kanisani...tena mashahidi wa Yehova yoooh
2025-09-15 08:06:32
6
user575480383613
bembe11 :
we ulijua wale malaika?
2025-09-15 19:16:08
1
thelifeofdavieh
thelifeofdavieh :
What podcast is this ?
2025-09-15 14:33:24
0
baochaole
bao chao Le :
wakristo ni wasenge hasa hawa walokole
2025-09-15 18:08:56
1
ev_daniel1
MAN OF GOD :
CHURCH TUNAENDA KUTENGENEZWA ILI TUWE SAWA KAMA MUNGU ANAVYOTAKA
2025-09-15 09:11:56
2
deesgallery8
dsimba :
siyo kweli ukisema hakuna watu waongo kama kanisani, ofcourse wapo lakin siyo to the same degree kama maeneo mengine and I would love to commend their efforts coz pamoja na dhambi wanazopitia atleast they're striving to conquer them.
2025-09-15 13:27:16
3
isaya.mgeta3
Isaya Mgeta :
ukiona wanakuumiza ujue ulianza wewe😂
2025-09-15 08:01:31
2
edwarddismas
EdwardDismas_ :
🙌🙌🙌ooh hallelujah
2025-09-15 19:40:32
0
1gee_tz
Binadamu wa kale :
wanahukumu hao 😃 wana vitisho hao 😃
2025-09-15 05:15:38
3
minister.ei
Minister EI :
sema vijiwe vya kanisani sio kanisani tatizo mkifika kanisaninbaada ya ibada kunavijiwe mnaunda lazima uumie
2025-09-15 19:48:09
0
clementinaherbs
DAWA ZA KIHAYA :
na uzinzi uko uko
2025-09-15 13:23:24
1
sarahndee
T'anti :
nimempenda huyu dada
2025-09-15 13:30:38
1
astonwinston
Aston John Carter :
WAGALATIA 6:1-3 Ndugu zangu, mtu akighafilika katika kosa lo lote, ninyi mlio wa Roho mrejezeni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole, ukijiangalia nafsi yako usije ukajaribiwa wewe mwenyewe. Mchukuliane mizigo na kuitimiza hivyo sheria ya Kristo. Maana mtu akijiona kuwa ni kitu, naye si kitu, ajidanganya nafsi yake.
2025-09-15 12:41:27
1
emanuelmmbaga
Emanuel Mmbaga :
wabovu
2025-09-15 11:37:11
1
championdesign1
Champion Design :
wewe ujafika kariakoo🤣
2025-09-15 19:08:40
0
To see more videos from user @msasa_podcast, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About