@kim_chadniot7: bhabte bhabte tare ami😌 ....... ........ ........ @🐸Taehyung এর হাফ প্যান্ট🐸👻 #voice❞of_chadni🍒 #kimtaehyung #fyp #foryoupage #btsarmy

Voice ❞Of_chadni🍒
Voice ❞Of_chadni🍒
Open In TikTok:
Region: BD
Thursday 18 September 2025 01:34:13 GMT
203162
19270
3034
6244

Music

Download

Comments

mo40206
BTS ARMY :
আপু প্লিজ ফলো বেক টা দাও 😭😭😭😭😭😢😢😭😢😭😢😭😢😭😢😢😭😭😢😭😢😢😢😭😢💔😢😢💔😢😢💔😢💔😢😭😢💔😢💔😢💔😞💔😞💔😞💔🥺💔😞💔😞💔😞💔😞💔😞💔😞💔
2025-09-18 01:39:42
2
jannat.mn
🌸মা'য়া'ব'তী🌸 :
best fd hbn 🥺
2025-09-19 06:07:13
7
md.somrat4620
Md Somrat :
nai best fnd
2025-10-01 17:29:56
0
cuteprincess0076
Pretty-princess🍀🪷 :
Amar to friend nai😅
2025-10-01 17:20:55
0
park_x_nusrat_ot7
⟭⟬🐸টেপা_জিমিনের_বউ🐸 ᭄⟭⟬⁷ :
আমি বাদে সবার Online besti আছে!🙂🚬
2025-09-19 06:48:59
210
suna.pakyi
Mayar pakhi 90 :
ace cele🥰
2025-09-29 04:58:43
0
riya262351
🎀✨jeon_&_riya✨🎀 :
আমার একটা অনলাইন বেস্টফেন্ড লাগবে কেউ কি আমার বান্ধবী হবেন😄🫶🫀❤️‍🩹
2025-09-18 11:53:16
10
shuvo34189
✿ Kookie Princess ✿ :
amar online friend nai
2025-09-18 02:08:42
6
jeonmimot7bts
⟭⟬༄ ᭄জাতিরJUNGKOOKভাইয়ের বউ♡⟭ :
আমার তো কোনো বেস্ট ফ্রেন্ড নেই কি করে মিস করবো কেউ বেস্ট ফ্রেন্ড হবে 😔🥰
2025-09-18 04:14:59
2
jeon_safia_
💜জাতির Army আফা 💜 :
আমার তো অনলাইন বেস্ট ফ্রেন্ড পাউয়ার ভাগ্যই নাই🥺🥺
2025-09-23 08:55:55
1
.israt_007
───ইসরাত-:)🌷♡︎-!! :
kew best fnd hoile bolis
2025-09-19 13:16:55
3
sweet15495
-It’s me Mehrin 💗 :
Online Best friend nai 😐
2025-09-26 09:25:39
2
user2810827615526
🙂🙂🙃🙃 :
আমার কোনো Online friend নাই🥺🥺
2025-09-24 15:20:48
0
black.pink1454
🍒°°~ṠṳṁḀḭẏḀ~°°🍒 :
best friend বলতে আসলে কিছু হয় না 😆😆💔
2025-09-18 09:20:38
53
mylovejimin64
jiminar Queen :
Amar best friend nai,,,
2025-09-18 06:44:32
3
abcdefghijkkmnu0
Aroshi :
আমার নাই🥺
2025-09-26 11:29:12
0
.mahi.aktar1
😘Mahi aktar😘 :
কেউ আমার অনলাইন বেস্টফ্রেন্ড হবা
2025-09-29 06:55:05
1
anisha_872
🌛أ.بونيشا🪷 :
amar online friend nai
2025-09-19 05:05:44
3
eshika.afnan
♥*♡:。ℬ𝓊𝓉𝓉ℯ𝓇𝒻𝓁𝓎 。:♡*♥ :
হারিয়ে গেছে 😅
2025-09-18 13:53:00
7
toxic_miha_7
᭄ 𝐕ᴏɪᴄᴇ 𝐎ғ 𝐌ɪʜᴀ 🕷️ :
Aj akta online best friend nai bole 🥲
2025-09-30 03:19:30
1
zara_bbz91
—ZaᥫᩣRa:)👀🎀 :
Online best friend 😅🌷
2025-09-21 11:32:23
1
salmauxocr0
স্বার্থপর :
আমার কোন online বেস্ট ফেন্ড নেই..!😌❤️‍🩹
2025-09-28 08:53:26
0
ruma.ruma834
🥂🥂......☆☆RaHa☆☆.....🥂🥂 :
🥂🥂.......🆁🅰🅷🅰........🥂🥂এরকম ডিজাইন করা নাম কার কার লাগবো.🙂😊🌚
2025-09-27 01:17:08
1
ayrinjahanzara
☪️🦋AYRIN JAHAN ZARA 🇧🇩🦋 :
Ami bade Sobar online friend acey
2025-09-27 18:14:18
1
sathiami11
(Alone)Strange girl🙂 :
Kew friend hoben??? 🙂🙂🙂
2025-09-29 10:11:29
1
To see more videos from user @kim_chadniot7, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewataka wananchi kuwa watulivu na wavumilivu wakati Serikali ikiendelea kushughulikia changamoto ya usafiri wa Mwendokasi, hususan katika kituo cha Kimara. Akizungumza katika kituo cha Mwendokasi cha Kimara Mwisho, Chalamila amesema Serikali tayari imechukua hatua madhubuti za kuboresha huduma hiyo. Hatua hizo ni pamoja na kuondoa mtoa huduma wa zamani na kuleta kampuni mpya ambayo imeanza kuingiza zaidi ya mabasi 200 kwa njia ya Morogoro na zaidi ya 150 kwa njia ya Mbagala. “Ndani ya wiki hii mabasi hayo yataanza kutoa huduma. Tayari yapo ‘yard’-ini yakisubiri kuingizwa barabarani. Tumekutana na kampuni husika na baadhi yataanza kazi muda wowote kuanzia sasa,” amesema Chalamila. Mabasi hayo mapya yataendeshwa na kampuni binafsi kwa lengo la kuongeza ufanisi na kuondoa kero zilizokuwa zikiwakabili abiria, hasa wakati wa asubuhi na jioni. Kwa sasa, alisema, mabasi yanayotoa huduma hayazidi 40, jambo lililosababisha usumbufu mkubwa na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi kupitia mitandao ya kijamii. Mkuu huyo wa Mkoa pia amewataka wananchi kuacha matusi na lawama zisizo na tija dhidi ya viongozi wa Serikali au chama tawala, akisisitiza kuwa Serikali imesikia kilio cha wananchi na hatua madhubuti zinaendelea kuchukuliwa. “Tumeona clip zinasema hatumtaki mama wala CCM. Nawaomba wananchi tuwe wapole, tusivuruge amani ya nchi yetu. Serikali iko makini, na Rais mwenyewe ameona hali hii na ameagiza hatua zichukuliwe haraka,” amesema. Mdau mmoja amependekeza magari ya daladala yaruhusiwe kutoa huduma katika baadhi ya maeneo kama Gerezani ili kupunguza adha kwa abiria. Hata hivyo, Chalamila amebainisha kuwa jambo hilo linachunguzwa kwa makini, kwa kuwa kuruhusu daladala kutumia miundombinu ya Mwendokasi kunaweza kuhatarisha usalama kutokana na kutokidhi vigezo vya kiusalama. Imeandikwa na Imani Nathaniel Tembelea http://epaper.ippmedia.com kusoma gazeti lako au wasiliana nasi 📞+255 745 -700 710 au 0677- 020 701 kwa maelezo zaidi. #NipasheDigital #NipasheMwangaWaJamii #miaka30yakupashahabari
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewataka wananchi kuwa watulivu na wavumilivu wakati Serikali ikiendelea kushughulikia changamoto ya usafiri wa Mwendokasi, hususan katika kituo cha Kimara. Akizungumza katika kituo cha Mwendokasi cha Kimara Mwisho, Chalamila amesema Serikali tayari imechukua hatua madhubuti za kuboresha huduma hiyo. Hatua hizo ni pamoja na kuondoa mtoa huduma wa zamani na kuleta kampuni mpya ambayo imeanza kuingiza zaidi ya mabasi 200 kwa njia ya Morogoro na zaidi ya 150 kwa njia ya Mbagala. “Ndani ya wiki hii mabasi hayo yataanza kutoa huduma. Tayari yapo ‘yard’-ini yakisubiri kuingizwa barabarani. Tumekutana na kampuni husika na baadhi yataanza kazi muda wowote kuanzia sasa,” amesema Chalamila. Mabasi hayo mapya yataendeshwa na kampuni binafsi kwa lengo la kuongeza ufanisi na kuondoa kero zilizokuwa zikiwakabili abiria, hasa wakati wa asubuhi na jioni. Kwa sasa, alisema, mabasi yanayotoa huduma hayazidi 40, jambo lililosababisha usumbufu mkubwa na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi kupitia mitandao ya kijamii. Mkuu huyo wa Mkoa pia amewataka wananchi kuacha matusi na lawama zisizo na tija dhidi ya viongozi wa Serikali au chama tawala, akisisitiza kuwa Serikali imesikia kilio cha wananchi na hatua madhubuti zinaendelea kuchukuliwa. “Tumeona clip zinasema hatumtaki mama wala CCM. Nawaomba wananchi tuwe wapole, tusivuruge amani ya nchi yetu. Serikali iko makini, na Rais mwenyewe ameona hali hii na ameagiza hatua zichukuliwe haraka,” amesema. Mdau mmoja amependekeza magari ya daladala yaruhusiwe kutoa huduma katika baadhi ya maeneo kama Gerezani ili kupunguza adha kwa abiria. Hata hivyo, Chalamila amebainisha kuwa jambo hilo linachunguzwa kwa makini, kwa kuwa kuruhusu daladala kutumia miundombinu ya Mwendokasi kunaweza kuhatarisha usalama kutokana na kutokidhi vigezo vya kiusalama. Imeandikwa na Imani Nathaniel Tembelea http://epaper.ippmedia.com kusoma gazeti lako au wasiliana nasi 📞+255 745 -700 710 au 0677- 020 701 kwa maelezo zaidi. #NipasheDigital #NipasheMwangaWaJamii #miaka30yakupashahabari

About