@abdulatifuhamdani: #shekhe_othumani_maalim

abdulatifuhamdani
abdulatifuhamdani
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 18 September 2025 07:50:48 GMT
468761
17038
203
5850

Music

Download

Comments

aishamohamedchega
Aisha Mohamed Chega :
hakika shekh subra inatakiwa sana
2025-10-04 04:48:01
6
da.zu.vinogesho
Irfan ehsaan zahour :
unataman kuvumilia lakin ukifikiria mwanaume hizo kauli mara ukitaka tendo la ndoa niambie mtu anakuweka Kwa wazazi wake ukihoji ooh utaendelea kukaa hapa mpaka niamue mbaya zaidi anaishi mlipopanga halafu wewe unakaa kwao anakuja kukuona kama mgonjwa ambae upo ICU kweli sheikh apo nivumilie kisa ndio ndoa yangu ya kwanza mi nimeshindwa bana
2025-09-18 14:21:08
22
user9103324149083
user9103324149083 :
sheikh tunadaitalaka wengine tunaumia iladharau hazivumiliki kejel maumivu tunayopitia inatubidi tudai talaka kwakunusuru afya zetu japotunapitia magumu unaishi namwenzawako kwakumvumilia ilayeye anakuona kamamtumwawaketuu siomke mwenye kuhtaminika kweli shekh utawezakuvumilia 😭😭 tunanyanayasuka wanawake
2025-09-18 18:55:16
17
iddi.waziri6678
Iddi Waziri :
NAOMBA kuuliza ni sahihi kumpa talaka mwanamke AMBAE ni mjamzito
2025-09-22 20:09:33
6
mr.gably
Mr.galby :
mpk Leo miaka 11 bdo anajizururia Wala sitaki Tena ndoa 😂😂😂😂
2025-09-19 07:54:45
18
jamilhabibi1bibi
moriska :
hakuna fikra na matharau sio tuna mengi sana kaka mume anaitembeya Hadi na mtoto wa kaka yangu at akiwa ananipa thahabi Mimi simtaki nimtu mchafu sana na hataki nitoke
2025-09-19 04:37:19
5
browniga
Browniga :
niko na suali
2025-09-19 04:32:37
5
siriyangu6
siri yangu :
mie nimeachika na sasq natafta Shekh kama weyee maana ntapata mtu wa kunikumbusha akhera
2025-09-19 03:36:44
5
shamsaomary271
Shamsa Omary :
mashaallah mashaallah mashaallah 🥰🥰🥰🥰🥰
2025-09-18 09:28:31
8
wildaholictz
Arif. Aziz. Khan🇹🇿 :
sijaelewa hata moja Alianza vizuri Kisha akapotea Mada ya talaka imeishia kwenye zawadi teletele
2025-09-18 18:18:28
16
user2741576817883
user2741576817883 :
shekhee akuna mwanake ambae anaomb talak bila sababu mwanaume wanatunyanyasa San hutharit umezida zalahu unakuta mumeo anaongea namwanamke wake chumba
2025-09-19 05:06:36
10
abdallah.ghalib1
Abdallah Ghalib :
jinsi wanawake wanavyochanganya mpaka sheikh maskin kasahau mada yake baada ya kuanza kumzungumzia mwanamke
2025-09-19 12:19:35
6
amosi.yohana1
SARGENT ANORD :
Kabisaaa shekhe upo sahihi Othman sana
2025-09-18 09:44:39
5
prodrivespec
prodrivespec :
Respect sheikh
2025-11-02 00:52:09
2
user59981428420041
RAISAM DUME :
Subhanaallah
2025-10-25 20:42:19
3
rahul.khan85
🎲RAHUL🎲 :
MASHAALLAH
2025-11-19 08:09:02
2
nassra26
user5975507204922 :
subuhallah
2025-10-22 16:23:45
2
fatwa2030
Fatwa001 :
better life nikua kivyako lkn kwa mwengine stress ile ile
2025-09-27 19:17:04
3
juma.ally.killo
Juma Ally Killo :
mufti osimani malimu upo sawa kabisa ukoseagi atakidogo mufti
2025-09-20 08:54:47
5
mamake.maha
Mamake Maha :
wengine shekhe tunavumilia paka tunashindwa. tunatoka imani kwenye ndoa.
2025-11-07 10:51:42
2
budashee0
Buda Shee :
Allah atustiri kwa ndoa zetu
2025-11-14 03:52:05
2
rashid.mohamed730
Rashid Mohamed :
amin
2025-09-23 19:49:04
2
smileface1968
kinatty :
na wanaume wanatudharau sana wanathamini mahawara
2025-10-27 18:59:22
2
swabbybeiby
ummusul :
sio kweli hayo mwanamke anajitambua pale anapothaminiwa ndoa ngani kila siku mikosi...kila unachofanya sivyo...
2025-09-22 10:44:29
4
user6161388037187
Mzur Afreen :
yaan shehe Mimi mume wng alikua malaya ananipiga mlevi Sasa anatmbea mpaka na wanaume wenzie eti nikae tu mh mungu atanisamehe tu
2025-09-20 05:43:21
4
To see more videos from user @abdulatifuhamdani, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About