mtume amekataza Kuswaliwa yeye bila Kutajwa Ahlul bayt zake.
mpaka leo Masheikh hamjaona mapungufu hayo ispokua MASHIA TU WAPO KIKAMILIFU KWA HILO
2025-09-21 18:40:32
0
jumaa :
hawawezakani hawa ANSWARI SUGU wametoka walikotoka kwa nia moja Kupinga tu hao ndio ANSWAR SUGU
2025-09-21 04:26:27
0
Aloyce Shaabani :
subhanallah ,,Yaan kun mtu mpk hapo bado anatenganeza hoja maurid iwe sunnah sijui faradh duuh
2025-09-25 19:03:10
0
schenaiderlunda :
huyu ustadh wa wali ni mzuka
2025-09-22 17:35:48
0
myname1708@#$ :
WATU WA MAULID WANALAZIMISHA
KMA WAKRISTO WANAVOLAZIMISHA UUNGU WA YESU
2025-09-21 06:31:11
2
Qassim bin Maalim+974🇶🇦 :
ALLAHU AKBAR... MTUME MOHAMMAD (S. A. W)... ALIKUJA NA UPANGA ⚔️... ILI DINI ISIMAME.. SAA HII TWAUSIMAMISHA NA (AK47) SIO KUPIGA TWARI... ALLAHU AKBAR ☝
2025-09-22 04:15:57
3
Nawy :
mbna watu wingi wa maulidi wanakaa mashoga shoga.....ni swali tu jameni
2025-09-20 21:56:46
1
Abal Qais :
Fassalu ahlal dhikri... Ulizeni wanaojua km hamjuiiiiiiii😂😂
2025-09-20 19:26:11
1
aboud saleh :
watu wa maulidi hawana tofauti na wapagani wanabisha lakini hawana dalili
2025-09-21 14:37:49
0
boss mwinyi :
wewe sera ni istria sio ibada ata abuu jahal ametajwa hivi abuu jahal niibada
2025-09-21 06:31:42
0
TYG3R😎 :
DJ uapi hapa asingeeza😂
2025-09-20 18:52:06
1
Mzalendo khaldun Vae :
jee maulid ipo kwenye fikhi ?
jee ipo ayaa ?
naona azunguka zunguka tu Hana dalili.😜.....
2025-09-20 18:05:09
1
user1378248391258 :
Hakuna ayaa atamoja huyu ni uzishi uliletwa kwajuu
2025-09-21 07:07:23
1
user8851245760772 :
SUB'HANA ALLAH..hawa watu wa twariqa hawana mashiko, maswali ya kielimu wanayaruka
2025-09-21 04:17:31
0
ALKAMAAR ONLINE MARKETING :
hakuna anae kataa ku msimfu mtume wala kumswalia jemaulidi na matwari na nzumamari na hitma zitapatikanaje kwq sera.maulid ni nyimbo na watu huteza.hii ibada iko wapi
2025-09-20 19:54:27
3
Abu Muntadhwar :
changamoto za waisilamu ni maulidi sio!!!!!jaala eechu