namuelewa shekh mawaidha ya 2001 dunia vijana tulikua atuja soma ila kwasasa amtudanganyi tena mawaidha mengine porojo omar na Abubakar r.a ndo walompokea mtume madina sasa omar yupi aloenda kuaga mchana?😂 na vita zote za kislam omar alishinda vita gani emu njoen mtuambie tusikalie story za vijiweni
2025-09-22 08:25:08
8
Leftshooter :
Allah hapendi watu waoga 💪
2025-09-22 05:15:41
128
Kawiahm :
ila hapo kweye KIPOOZEO MWALIMU WA NGUMI sidhani 😂😂😂😂
2025-09-21 19:04:09
30
Fumbi :
shekhe Omari ally bashairi Allah amrehem huko aliko alikuwa mwamba kweli kweli hapo mwembechai kwa rehema zake Allah amrudhuku pepo shekhe omary
2025-09-21 17:03:17
92
Naymuu :
Sheikh huyu nini sababu ya umauti wake
2025-09-21 17:34:06
18
Dr. Ibrahim Wainaina. :
🤣 يرحمه الله.
2025-09-30 11:09:14
0
Amoma :
Fikra za kihawarij hizo na hazina tija kweny dini UKWELI NDIO HUO
2025-09-21 20:44:35
21
athuman mfaume :
ni kweli muislamu hatakiwi kuwa mzembe lakin hatakiwi kuasi dola na watawala wake ndo dini inasema hivyoo midhali unapata haki yako ya kufanya ibada
2025-09-22 06:17:01
6
no body🇹🇿 :
bakwata walikataza Ngumi msikitinii.... mwisho wa bakwata utafika tu walai
2025-09-22 01:07:06
18
kinyika og :
mungu gani alooo aya mambo bwana kwaio ukitekwa mungu awezi kukuokoa🤪🤪🤪
2025-09-21 21:12:54
3
most :
🤣🤣🤣 mbio za shekhe farasi hawez.. duh!
2025-09-22 06:16:09
3
SalamTC :
Namljmbuka sana, Swalat Ijumaa pale msikiti wa Mabibo Loyola. Allahumma ghfirlahu warahmahu waskkinahu fil Jannah
2025-09-21 19:14:09
25
Gulshan from Tanzania :
Allha Marehemu huyu sheik ♥
2025-09-21 19:15:18
11
Migwel Graffix :
Baadal swalatul fajir ni mbio
baadal swalatul isha tunajifunza ngumi,
haya kibaka atokee sasa tuzirushe live