@bad.edits9: Superman Is Dead-Bulan & Ksatria #foryoupage #xyzcba #masukberanda #muzikmalaysia #tiktokmalaysia

bad.edits
bad.edits
Open In TikTok:
Region: MY
Wednesday 24 September 2025 08:23:30 GMT
54135
5810
46
336

Music

Download

Comments

yajuu05
Yajuu🫵🏻😮‍💨 :
Kekuatan Ahmoi kan berikanya makhota
2025-09-26 06:09:31
15
ismaarif88
Ismaariffin :
siapa nyanyi lagu nie
2025-09-25 12:51:50
6
bukandrummeryangsebenar_
Ami Bukan Nama Sebenar :
Rindu band punk Malaysia yang buat lagu fight kerajaan . Sekarang banyak yang buat lagu untuk kerajaan pulak 😂
2025-09-25 15:05:22
4
kimieeee_san
Man0k :
Bang req lagu 1 nak buat story. Janji - SalamMusik
2025-09-24 13:24:16
6
penyu.dof
ﮩ٨ـﮩﮩ٨ـbiskut ♡ tigerﮩ٨ـﮩﮩ٨ـ :
bangg nak req buat, Tengah malam -Salammusik (dark fantasi)
2025-09-25 15:11:18
1
petak_studio
Petak :
ahmoi chantek - Hujan min🔥
2025-09-25 12:02:09
1
putryskeizz
yeen 🌬️ :
malas da berdebat 🙏
2025-09-25 11:09:38
1
bobb4278
somebody :
min lagu "gadis berbaju unggu" dari kumpulan # pulk min tag klau dh post
2025-09-25 07:21:54
1
matblackwoii
⠀ ⠀ ⠀ ⠀ ⠀᠌ ‍ ‍ ‍⛧ :
SiD 🤘🏾
2025-09-25 15:42:31
1
laz_xiii
Laz/Affy :
request lagu Pesawat - Mirage 🙏
2025-09-24 12:25:11
4
imonn00
lemonade🤫 :
bang ...req kau jiwaku jemson
2025-09-25 17:31:25
1
izzul430
BOTAK :
request lagu "dan.
2025-09-25 05:38:24
1
wakteroy
wakteroy :
firsttt
2025-09-24 08:26:22
1
.mohdsharifff
𝕾𝖆𝖗𝖎𝖕 :
request lagu “mencari konklusi hujan” 🙏🏻
2025-09-24 13:20:29
3
jekwan16
jek :
praimeri-agen perisikan cinta. new gem
2025-09-25 14:14:39
1
popeye_rip
Kira 🦈 :
Lama betul lagu ni
2025-09-25 03:57:38
2
kimieeee_san
Man0k :
2025-09-24 12:41:33
3
adibzafrul
adibzafrul :
🥰🥰🥰
2025-09-28 06:32:24
1
khai19571
Khai :
😞
2025-09-26 11:58:01
1
88mohd_dz
INSAN :
??????????👍🤲🤲
2025-09-25 23:55:10
1
muhammahanzlah
HANZALAH :
😅😅😅😅🥰🥰
2025-09-26 14:03:22
1
knight_killerr
عدي حافيّ :
macam berserk
2025-09-26 14:02:09
0
To see more videos from user @bad.edits9, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema tukio la kupatwa kwa Mwezi linatarajiwa kutokea kesho tarehe 7 Septemba 2025. Hali ya kupatwa kwa Mwezi ni tukio linalotokea wakati Dunia inapita kati ya Jua na Mwezi na kusababisha kivuli cha Dunia kuwa katika uso wa Mwezi. Aidha, hali hii hutokea wakati Dunia, Mwezi na Jua vinapokaa kwenye mstari mnyoofu. Tukio la kupatwa kwa Mwezi kwa tarehe 7 Septemba 2025 ni la kupatwa kwa Mwezi Sehemu na Kikamilifu. Tukio hili linatarajiwa kuonekana katika maeneo ya bara la Ulaya, Asia, Australia na Afrika. Kwa hapa nchini, hali ya kupatwa kwa Mwezi inatarajiwa kuanza kwa kupatwa kwa Mwezi Sehemu kuanzia pale Jua linapozama hadi saa 2:29 usiku na kufuatiwa na kupatwa kwa Mwezi Kikamilifu kuanzia saa 2:30 hadi saa 3:52 usiku. Aidha, tukio hili linatarajiwa kuhitimishwa kwa kupatwa kwa Mwezi Sehemu kuanzia saa 3:53 hadi 5:55 usiku. Kwa ujumla hali hii inatarajiwa kudumu kwa muda wa takriban masaa sita. Kwa kawaida, mzunguko wa mwezi una uhusiano mkumbwa na Kupwa na Kujaa kwa maji baharini. Hali hii inatarajiwa kuongezeka kwa kina cha maji katika Bahari wakati wa tukio hilo. Hata hivyo, hali hiyo haitarajiwi kupekelea athari kubwa. Hali ya anga inatarajiwa kuwa yenye mawingu kiasi na kutoa fursa nzuri ya kuonekana kwa tukio hilo kwa macho. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania inaendelea kufuatilia tukio hili la kupatwa kwa Mwezi na itatoa mrejesho kila inapobidi. #fyp #foryou #foryoupage #trend #fypシ゚ #goviral #tanzaniatiktok #viral #fypage #quran
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema tukio la kupatwa kwa Mwezi linatarajiwa kutokea kesho tarehe 7 Septemba 2025. Hali ya kupatwa kwa Mwezi ni tukio linalotokea wakati Dunia inapita kati ya Jua na Mwezi na kusababisha kivuli cha Dunia kuwa katika uso wa Mwezi. Aidha, hali hii hutokea wakati Dunia, Mwezi na Jua vinapokaa kwenye mstari mnyoofu. Tukio la kupatwa kwa Mwezi kwa tarehe 7 Septemba 2025 ni la kupatwa kwa Mwezi Sehemu na Kikamilifu. Tukio hili linatarajiwa kuonekana katika maeneo ya bara la Ulaya, Asia, Australia na Afrika. Kwa hapa nchini, hali ya kupatwa kwa Mwezi inatarajiwa kuanza kwa kupatwa kwa Mwezi Sehemu kuanzia pale Jua linapozama hadi saa 2:29 usiku na kufuatiwa na kupatwa kwa Mwezi Kikamilifu kuanzia saa 2:30 hadi saa 3:52 usiku. Aidha, tukio hili linatarajiwa kuhitimishwa kwa kupatwa kwa Mwezi Sehemu kuanzia saa 3:53 hadi 5:55 usiku. Kwa ujumla hali hii inatarajiwa kudumu kwa muda wa takriban masaa sita. Kwa kawaida, mzunguko wa mwezi una uhusiano mkumbwa na Kupwa na Kujaa kwa maji baharini. Hali hii inatarajiwa kuongezeka kwa kina cha maji katika Bahari wakati wa tukio hilo. Hata hivyo, hali hiyo haitarajiwi kupekelea athari kubwa. Hali ya anga inatarajiwa kuwa yenye mawingu kiasi na kutoa fursa nzuri ya kuonekana kwa tukio hilo kwa macho. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania inaendelea kufuatilia tukio hili la kupatwa kwa Mwezi na itatoa mrejesho kila inapobidi. #fyp #foryou #foryoupage #trend #fypシ゚ #goviral #tanzaniatiktok #viral #fypage #quran

About