Wacha ateseke kenge mwezio kwani yeye huyo tundu lisu anatutakia mema kwenda uko
2025-10-01 09:10:20
2
mamu_fashion😍 :
29 tunatiki
2025-09-30 07:14:05
7
kajuna :
ukimuona au ukamsikia mtu yeyote kuwa hampendi Rais wetu mpendwa Mama Samia, basi ujue kuwa huyo sio mtanzania halisi, au ni mnafiki na hasidi.....
na siku zote wanafiki na mahasidi hujidhuru wenyewe,,,, endeleeni kujidhuru nyie Mahasidi,,,, mshindwe na mregee
2025-09-30 09:46:30
5
noelasimon1 :
Baba mzazi umenena hongera sana umesema kweli ubarikiwe
2025-09-30 11:52:43
20
Suzana Suzanamwangingo :
we mzee nawe zeeka talatibu
2025-09-30 10:32:12
2
Akida nzambah :
KUMKATAA KIVIPI?? KWANI KURA ZISHAPIGWA??
2025-09-30 21:20:57
1
Alphonce :
ujue uyo ndiye wakwanza kuliona jua kakwepa mishale mingi unambishia mtoto wa elfu mbili au ndo kizazi cha panya baba shalubu mtoto nae shalubu
2025-09-29 20:16:59
4
beomarko :
roho mbaya zee zima hata wewe ujue hatukupendi angekuwa dada yako unaempenda mitano tena Mama hata mbele kelele za kizee tu
2025-09-29 16:41:56
3
Charles Mbwambo :
Watoto wangu bado wadogo pia napenda kuilea family yng ktk nchi yenye amani na utulivu. Sitarajii kushabikia uchafuzi wa amani ktk nchi yng. God bless
2025-09-30 10:25:47
0
user9899131570721 :
ni nyinyi chadema ndio hamu mpedi ccm wana mpenda
2025-09-29 15:34:00
3
noel_audax :
unakuta hata samai ataki kuwa president
ila watu walio nyuma yake wenye manufaa na hilo wana force abaki hapo
2025-10-01 11:58:46
3
Mrs🥰🥰 My :
mungu atupiganie kwa kwel hiz ni nyakati za mwisho machafuko yameshaanza mungu atulinde tuu🙏🙏🙏
2025-10-01 16:29:16
3
@#Top in deadlines :
sio atakuja kuondoka sema ikimaliza mitano ndo ataondoka na hakuna hata panya mmoja anaeweza kumuondoa huyo
2025-10-01 14:08:24
2
mtuMbad :
mungu tujaarie wazee wengi kama hawa wenye maarifa na hekima
2025-09-30 09:39:51
10
To see more videos from user @jamvi255, please go to the Tikwm
homepage.