atanyinyi mlikua na kihelehele sana bona munawaona na hawataki kuonekana 😂😂😂😂 invisible
2025-09-30 06:11:48
9
Gilo :
huyo ni con mganga
2025-09-30 03:21:58
6
Edward Eduu :
Uko na homa?
2025-09-30 09:55:32
2
AwinoCelly💫 :
Even if they were invisible si bado watahukumiwa for failure to 'appear' for a court reading?😂😂😂
2025-09-30 11:55:21
2
Mikejeff :
Huyo mganga nikama lawyers wengine wakora hii town😂😂😂.
2025-09-29 15:19:56
7
Shantel💞 :
comment yangu mnaiona kweli 🤣🤣
2025-09-30 04:03:45
5
aldocutey💓💓💓💓 :
nataka kubadilisha jina ,plz help me
2025-09-29 20:02:23
2
The usual suspect :
if it was real kalonzo would have been president 🤣🤣🤣🤣
2025-09-30 13:40:33
1
kenstarz :
Alafu uki imagine kwa mganga umetoa 30k n mbuzi sita alafu anakupa makaa ya yakupondwa lazima tumsalimie shenzi hakuna kutibu kesi ni kujifunga kwa kesi😂
2025-09-30 09:35:57
0
rekemundu :
mm nakumbuka tukipoteza eka moja ya familia kotini juu ya uchawi,it works bwana
2025-09-30 08:31:09
3
jakamolo :
So ningekua mtu wako ...mimi ndo ningekua wa kwanza kuskia hii
2025-09-30 05:45:39
2
To see more videos from user @sharzette_legal, please go to the Tikwm
homepage.