wangu anasemaga mamake ndio ua anamuombea yangu ni ujinga tu
2025-09-30 07:01:23
264
Zimba Electronics :
uzuri nikikosa tunalala wote njaa😆😆
2025-09-30 06:58:58
162
mercytripple :
Mm ata nataka kutoka kwa hii ndoa nmechoka ata miaka mbili haijaisha
2025-09-30 08:53:52
80
mluhya Mpenda Bidii :
wangu penye ako naomba Mungu uteseke hadi kifo chako, uwezi tupa watoto wako upende watoto wenye si wako 😭💔
2025-09-30 07:38:10
98
brandonly :
true wife is a blessing i have a testimony 🙏
2025-09-30 13:48:40
88
Evans Anyona :
Bro hizo vitu unaongea haziwezi tishia sisi, Kwani huyo bibi ni mungu? So tuabudu wanawake, Sindio? Kwenda uko mama boy wewe. Mwanamke mwenye nguvu peke yake kwa maisha yangu ni MAMA mzazi, Hizo zingine ni za kwenu labda .
2025-10-01 06:03:28
16
Beauty lady :
Pastor🤣bwanangu ni 1 mint man🥺🥺🥺nimchit ama nivumilie😭😭😭😭😭😭😂🤣
2025-09-30 22:23:59
20
winner zuber :
Thanks God .. he knows, and he respect ... ila dada, au wa mama wenzangu kufika level ya mume kuelewa wewe katika familia ni nani kipo kibarua , iPo kaz ya wewe mama kusimama sio kazi rahis ..kubali machozi, maumivu , anga kutoeleweka ila ukivumilia mpka mwisho utavuna mama mwenzangu
2025-09-30 08:03:31
27
Agenda Rabia07 :
yaan wanaume hawajui kama kuna laana ya mke
2025-10-01 03:16:49
38
lady of christ :
anakupeleka out alafu yupo biz na kuchekacheka na wahudumu na kuwauliza shift zao,ngachoka bora nibaki kusugua ukuta wa nyumba yangu upendeze
2025-09-30 08:26:05
18
Anny :
anakwambia ww ni Mungu ndo unagawa riziki 😳😳
2025-09-30 18:43:43
17
jackhance :
Apatae mke mwema kajipatia kibaliiii
2025-10-20 18:36:06
6
sarifusarifu :
wangu hajui hii😂😀
2025-09-30 18:45:17
12
Juliana :
mtumishi ulikuwa wapi leo nimefurahi kukuona
2025-09-30 13:14:50
10
A@K,#Afearny🥰💢🫶💫💯 :
l used to cry each and everyday,niliongea kwa iyo ndoa ,nlilalamika adi mwanaume akasema namlaani until l matched out akin ndoa zingine zinaitaji to neema ya bwana
2025-10-01 09:31:34
6
Mariecute :
Wengi wangejua hili wangefika mbali sanaaa, Mwanamke ana nafasi ya upendeleo sana mbele za Mungu ndo maan tuna kibali kikubwa sanaaa🙏
2025-09-30 07:08:32
10
ondire buoro :
baraka hutoka kwa baba mzazi sio viumbe zinatoa damu miezi kumi na miwili na haikufi
2025-10-02 04:28:18
5
Marcy Jack :
mungu bariki my husband na umpe keep Bali in the name of Jesus 🙏🙏
2025-09-30 10:15:36
5
Shibira Juliet :
mm nliambiwa tangu nkuje kwa maisha yake mambo yake haiendi vizuri
2025-09-30 18:06:32
14
jacki :
Ameen🙏
2025-09-30 04:28:59
11
theodaqharo :
natamani kamfikie ila hata elewa
2025-09-30 04:55:16
5
user3812803007947 :
yaani mtumishi uko vizuri sana 🔥🔥🔥🔥🎉🎉🎉🎉🥰🥰🥰🥰❤️❤️❤️❤
2025-09-30 13:01:25
5
marymfoi792 :
😂😂😂waache kutoka na michepuko watoke na wake zao tena😂😂😂
2025-09-30 07:55:55
5
Lameck "De Gea" G.K :
kupata huyo mke mwema pia si raisi 🙏but ni our wish kupata such women but hii generation imeoza si kama ya akina wazazi wetu...but this is wisdom
2025-09-30 14:19:36
6
Catherine :
nikweli baba wanatudharau xanaa.
2025-09-30 07:37:42
5
To see more videos from user @mwl.emilian.katub7, please go to the Tikwm
homepage.