@trtafrikasw: Katika Mkutano Mkuu wa 80  wa Umoja wa Mataifa uliomalizika wiki iliyopita kule mjini New York nchini Marekani, kilio kikubwa kilichoibuka kutoka kwa viongozi wa Afrika ilikuwa ni juu ya ukosefu wa uwakilishi wa bara katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kama mwanachama wa kudumu. Kwa sasa, Baraza la Usalama tayari lina wanachama watano wa kudumu na Afrika inadai nafasi mbili . Hata hivyo jinsi ya kuchagua nchi hizo mbili huenda ikawa changamoto. #un #africa #tanzaniantiktok🇹🇿 #kenyantiktok🇰🇪 #ugandatiktok #swahilitiktok

TRT Afrika Swahili
TRT Afrika Swahili
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 30 September 2025 17:45:24 GMT
1457
84
1
4

Music

Download

Comments

kulmoadqt
kulmoadqt❤️🔐 :
first comment
2025-09-30 17:49:13
0
To see more videos from user @trtafrikasw, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About