Kuna muda unahitaji kuongea Na mzazi hata mmoja wao, inauma Sana hasa wote wakiwa wametangulia mbele YA haki.😭😭😭
2025-10-02 14:18:38
15
Musa Maulid :
Yaa Allah mrehemu babangu,msamehe na umjalie kaburi lake liwe ni bustani miongoni mwa mabustani ya peponi inshallah
2025-10-02 16:45:54
14
zawadi :
alfu kuna wakina sis baba hakutaki
2025-10-02 15:31:22
1
CHOKRA821 :
ee mungu nilindie Baba yangu na wape moyo Wa subira walio wapoteza Baba zao insha'Allah
2025-10-02 17:45:52
10
Shariff mwalimu :
Allah azidi kutueka karibu na baba zetu
2025-10-02 16:31:38
1
Mimah_Ommy :
amiin
2025-10-02 11:49:26
0
amin abudi 681 :
allah awape kauli thaabit baba zetu
2025-10-02 19:42:48
0
aisha mamuu :
allah 😭
2025-10-03 01:24:37
0
Shaniya collection :
allhaawape.kauli.dhabiti
2025-10-02 18:29:18
1
Zabra :
wengine tunao lakn kama hawap😭😭😭
2025-10-03 02:52:08
0
sharifaissa719 :
nimelia sana nimiezi mi nne sasa baba angu umelala kaburin Allah amuondolee adhabu ya kaburi na alifanyie nuru kaburi lake😭😭😭
2025-10-02 12:18:59
8
ot65 :
Yaa Allah mrehemu babangu,msamehe na umjalie kaburi lake liwe ni bustani miongoni mwa mabustani ya peponi inshallah
2025-10-02 22:00:19
0
Zawadi Ravon 💞💗💝, #$&@@ :
😭😭😭😭 pumzika kwa amani baba angu Mungu akupe kauli njema baba na andika haya nikivija machozi😭😭
2025-10-02 19:41:12
1
Amisi Younus yousuf Amba son :
🙏🙏🙏🙏🙏allah akbar
2025-10-02 21:53:55
0
Fatma Issa :
sina la kusema walah alhmdulillah kwa kila jambo baba angu aliniacha nikiwa mdogo ata sura ake siijui nime muona kwenye picha nikaambiwa uyu ndo baba ako😭😭 mama angu akanilea alhamdulillah nae mwaka 2020 allah akampenda zaidi akafariki nyie kufiwa na wazizi kugumu na kidondoka kisicho pona walah 😭😭 allah awarehemu wazazi wangu alhamdulillah kwa kila jambo na amini mipango ya allah ni bora zaidi