@salvadorarsenal:

salvador 🇸🇻⚽Arsenal⚽
salvador 🇸🇻⚽Arsenal⚽
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 01 October 2025 17:28:42 GMT
121072
3702
300
450

Music

Download

Comments

deommy438
de ommy :
maderev wa mabas waseng san
2025-10-01 21:54:04
29
simonadam871
MJAPANI SMART MOTORS(MSM)🚖🚘 :
wa roli wote wa wili ni wajinga walikua wanaitengeneza ajal kwa makusudi.. roli la mbele limezuia asiovatek afu io pulling ya nyuma imekuja kumbana ili asirudi upande wa pili.... sasa wanataka mwenzao aende wapi
2025-10-02 04:53:00
24
ismail.hamis97
kipara sio busara :
Hapo ukifuatilia wa basi ni kama aliwapelekea
2025-10-02 22:26:36
0
.j.motak873
@Officialmissingi :
madereva wa mabasi wote n makuma mweny anabisha aje nahoja
2025-10-02 02:30:05
40
chintu.singha
Chintu Singha :
Sasa mwenye kosa ni mwenye basi sema hata ninyi hamjui shelia wa roli yupo sehem sahihi
2025-10-02 04:38:01
15
mr_kilti
Mr_Kilti :
Wengi hawajui sheria wanakimbilia kutukana dereva wa Bus. Hao madereva wa roli wote wawili ni wapumbavu ilitakiwa wakawekwe ndani na kufungiwa leseni. Siku zote mtu akishakaa kulia kwa maana ana kuovertake iwe anafata sheria au anavunja sheria unatakiwa umpe kipaumbele sababu wew sio traffic na hujui kwann kaka kulia labda ana brake failure. Ko wote wawili wanatakiwa wafungiwe leseni. Mstari unaruhusu Dereva wa bus ameona anaweza kwenda ilipaswa apewe nafasi sasa roli zinamzuia bus kupita hiyo ni Kosa kubwa sanah barabarani.
2025-10-02 22:00:23
1
gery..86
Gery 💬 86 :
Na wa bus Kwann akiona hivyo asiache tu Lori liende atapungukiwa nn
2025-10-02 06:58:07
14
sayukisheshushi27
Sayuki Sheshushi :
Ukiangalia kwa majini Driver wa Bus kuna jambo kawafanyia haiwezekani Lorry zote mbili kampuni tofauti wambanie mwenye Bus na hawa wachunguzwe wote
2025-10-02 03:42:22
9
dzecomofan
BÏG :
Nyie ongeen kwa mbali mkifika kwenye spika mna letewa michezo Kama mwenzenu wa Abood🤣😁😁
2025-10-02 21:03:21
0
mudymkwizu23
mudy mkwizu :
hio bc ingekua inauwezo wa kuovatek angemaliza sasa uwezo wa kumaliza hana na anaovateki c angekaa nyuma na nyie mukisema bac amepakia watu kwani wa
2025-10-02 20:08:16
0
lissa_lukamo
lizzy :
muwe mnatupa feedback ilikuwaje baada ya kufika central
2025-10-02 08:55:11
3
mkenyavinny23
mkenyavinny23 :
Lazima ao wanao lecodi nao ni dereva wa bus kiufupi tu watu wa bus wanaendesha lafu ndio mana gar zote mbili zime mkazia😏
2025-10-02 04:19:48
13
sansiro.one
Sansiro one :
kosa la dereva wa basi ni lipi hapo wakati mwenye lori kazingua.
2025-10-02 10:06:58
1
sala.sala441
sala sala :
uyo dereva wa GSM ana akili uy
2025-10-02 07:48:07
6
stanleymarandu
makhirikhiri stan :
kwani mwenye lori angemuacha akaenda zake angepungukiwa nini
2025-10-02 06:14:19
5
markshari44
Mark Shari :
huyo wa lori mbele kwann akae katikat wakat gar halina uwezo, anazuia watu wengine, ndio maana madereva lazma waende shule, ukenge huo anafanya,
2025-10-02 17:27:40
0
williamloserian6
William Loserian :
🙏🙏Hii ni kweli sasa niulize mwenye makosa Lori la mbele au Lori la nyuma au basi kuovertake mda mrefuu
2025-10-01 22:07:51
3
sidaburiukiya
Martha :
Eti unampogia Abas Mlandizi huna akili mwenyemakosa hapo nindereva wa bus ambaye hajitambui umebena watu hutumii akili na mstari umemkataza huyo dereva wa bus pumbavu kabisa nyie
2025-10-02 04:53:36
1
sayuni.a.k.a.mlal
Sayuni a.k.a Mlala Hoi :
SASA mbona hawampishii ndoo dawaa
2025-10-02 17:50:41
2
kotto094
kotto :
madereva wa mabasi wasenge sana
2025-10-02 03:35:39
1
francisrikanga
francisrikanga :
huyu dereee wa GSM ni fala kabisa anyanganywe hata leseni
2025-10-01 22:21:19
8
iceprince284
Ice Prince :
usimpigie abasi
2025-10-02 05:32:53
1
august_jr1
August jra :
Alaf hawa wa Bus ni kama vile wanafunzi waliokua wanapenda kukaa mbele darasani na akili hawana😂😂. Kama mna haraka piteni juu basi
2025-10-02 18:57:55
5
user7782346947487
user7782346947487 :
ukiona hvo uju kuna sehemu dereva wa basi alizingua ndo maana jamaaa wakaamua kumkazia pia huyo dereva wa basi baada ya kuona hali hiii kwa nn asingepunguza mwendo na kurudi kukaa nyuma ili aanze upya nae akaamua kukomaa
2025-10-02 05:20:06
3
chudexamatz32
officialchude🎤 :
daaah hapo mwanetu WA roli kazingua😭
2025-10-02 11:07:49
1
To see more videos from user @salvadorarsenal, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About