@alwatan_tz: Serikali ya Eritrea Jana imepitisha rasmi sheria mpya ya kuoa Wanawake watatu kwa lazima ili kukabiliana na wimbi la uhaba wa Wanaume nchini humo. Serikali ya Eritrea imeahidi kutoa ruzuku ya pesa kila mwezi kwa atakaeongeza mke wa tatu. Eritrea ina Wanaume wachache huku idadi ya wanawake Ni wengi. NANI TWENDE ELITREA #Tanzania #daressalaam #viraltiktok #fypシ゚viral

ALWATAN_TZ
ALWATAN_TZ
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 01 October 2025 19:15:54 GMT
115813
1780
180
486

Music

Download

Comments

baraka.daniel
Baraka Daniel :
Hii ndio nchi ya ahadi sasa 😂
2025-10-02 09:47:20
40
yaquba.sogne
yaquba sogne :
Ubalozi Wa eritrea Unapatikana Wapi Tanzania
2025-10-02 14:17:16
7
vagr.x
Vagrx :
I'm stranded at the airport guys 😭 which air line flies directly to Eritrea 🇪🇷 🤔
2025-10-02 17:44:45
1
falaja.amani
Falaja Amani :
kuliko mumewangu aoe mke wa pili nitakufanae siku iyo Tena tukicheka
2025-10-02 12:33:16
1
atwemela6
Atwemela :
mniulizie huko, kuna nafasi ya wageni?😢😢 tafadhali mniletee majibu
2025-10-02 10:22:33
10
mush.masawe
mush masawe :
twenden zetu tuachane na hawa akina mwajuma
2025-10-02 09:55:40
12
khalfan.rubeya
khalfan Rubeya :
yaani hilo mama Samia Angelina hilo yaani angepita bila kupingwa
2025-10-02 11:26:56
5
abou_faysal_gardheer
abou faysal salim :
mimi wanipe wanne nije nao bongo na ruzuku yao wabaki nayo
2025-10-02 09:58:10
3
brendagithonga
BEE 💎🇰🇪🇲🇼 Mwappy :
ficheni wanaume WA Kenya wasiende,watachona
2025-10-02 17:52:16
1
denyo990
denyo990 :
uko n Canani mpya 😁
2025-10-02 10:51:20
2
iamyahyazaraph
IamYahya :
Kuna wanawake jamaniii😁😁😁😁 sio wanawake tu ni wazuriiiiii na unakuta kitu kina magandaaaaa😂😂😅😅😅
2025-10-02 17:06:03
1
abdul.kareem3986
Abdul kareem 🇹🇿🇹🇿 :
😂😂😂😂vizur sana
2025-10-02 11:11:32
4
mohsunknownpasscode
Passcode :
Pleas mwenye kujua nauli kutoka hapa tz mpaka eritrea ni shingap huko kwengine nita jua mwenyew pakufikia
2025-10-02 11:00:03
0
habibmwinyibakara
habibmwinyibakara :
Uraia Eritria unaupataje mazeeee 😂😂😂
2025-10-02 14:09:42
2
denis26190
Denis :
uje na tz ss 😂😂😂
2025-10-02 11:36:03
0
saiboy76
Saiboy :
waje wanichukue huku me hata watano fresh 😅😅
2025-10-02 11:28:13
0
abdallaah0786959757
abdallaah :
twendeni tukaujaze ulimwemgu 🤣🤣🤣🤣
2025-10-02 12:25:13
4
bin.chande1
bin chande :
weeeee ngoja nimpigie baloz
2025-10-02 11:36:33
0
iankasuku
Ian benz :
Nko njiani sai naelekea Eritrea 😂
2025-10-02 16:34:25
1
khamzahmbega
Mr mbega :
ah baaaasiiii
2025-10-02 09:37:59
2
sajuki52
sajuki :
nahamia huko jamn naombeni mnipokee2😂😂
2025-10-02 12:36:53
1
thedyboy677
Thedy Boy677 :
daaahhh nahamia huko wanangu me mapem tu mniandalie wake zangu
2025-10-02 12:17:02
1
bb032993
bb33 :
nahamia huko
2025-10-02 09:49:48
1
joseph.andrew791
Joseph Andrew :
oya wabongo zali ilihapa nan tuongozane
2025-10-02 07:09:17
2
chenson34
Suleiman sadru :
wanawake wa kondoa jiandae nakalibia Kuja huko kutembea 🤣
2025-10-02 07:42:20
1
To see more videos from user @alwatan_tz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About