kila siku nalia na kumuuliza aliyeniumiza lkn bado moyowangu unatamani kuskia chochote kutoka kwake,naumia madam leila😭😭😭😭😭sitamani tena dunia mi
2025-10-02 19:44:16
24
alphansamwi :
ila madam tamgu nikufaham apa unaonyesha haukua sawa kbs but kuna jambo nyuma ya pazia, nakkbali sana,
2025-10-02 20:58:06
5
lucymwinami34 :
ila moyo hautak kunyamaza😭😭😭😭
2025-10-03 09:05:54
31
kamilove ❤️🥀🪷 :
kabisa usemayo
2025-10-04 09:11:17
5
NANA :
yaaan mm nmeshamwachia mungu labda kama nna ubaya nae lkn jnsi alivyoniliza na alivyoninyima usingz na alivyonizalilisha labda kama mungu hayupo😭
2025-10-05 03:11:40
9
faa_immah :
Mungu akujazi Kwa faida unayotupatia
2025-10-02 16:29:39
9
dee01🍎🍏 :
natafuta rafiki wa kushare nae maumivu😭
2025-11-12 06:55:59
7
Mamuu :
nimekuja kugundua wanawake tunaumizwa mnoo
2025-10-07 22:06:28
5
🦋Madam D🦋 :
sahivi nimeamua kukaa kmya Allah atanilipa 😭😭
2025-10-04 07:44:09
10
lt's Mary🦋🌹 :
daah me kunasku niliongea kuanzia saa 3 usku mpka saa11 asubuhi nikimulezea jinsi gn alivo niumiza Wala hajal Ila sahv siongei mungu anifundishe kunyamaza staki niongee Tena
2025-10-02 20:06:37
41
mpemba wa sizini :
umenena madam
2025-10-02 11:17:59
8
🔜✍️ :
najiona napona madam
2025-10-02 16:57:58
6
Jibana boy🇰🇪🇧🇭 :
hii ni mm kbsaa moyo wngu ushaumizwa snaa
2025-10-03 11:12:14
6
muuh 🥰♥️ :
umeongea ukweli kipenzi achatujikaze na tuluusu maisha yaendelee💔💔💔
2025-10-02 18:50:58
5
🌺nagwa 🌸🥀 :
Allha akulinde kipenzi 🙏🙏
2025-10-02 18:20:40
7
... :
Mm kanitenda mazito ya uchungu nimeamua kukaa kimyaa anabak ananiuliza kwann nipo kimya basi anabak kubashili matukio yake hajui ni lipi limeniuma