@pangomedia: #tanzania🇹🇿 #kenyantiktok🇰🇪 #zambiantiktok🇿🇲 #dubai🇦🇪 #burundi🇧🇮 #ruanda🇷🇼 #kongotiktok🇨🇩 #mozambique🇲🇿 #saudiarabia🇸🇦 #usa🇺🇸 #eng

Pango Media
Pango Media
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 02 October 2025 22:16:12 GMT
83255
2131
296
254

Music

Download

Comments

user19085743582235
magnusi :
Nchi Ina mihimili 3, ambayo unaitwa BUNGE, MAHAMA, NA SERIKALI. (MIHIMILI MITATU YA DOLA,) Sawali la pili. Mswada ni SHERIA AMBAYO INAJADILIWA.
2025-10-03 04:14:50
16
wakishuashaphy
shaphy :
kujibu mswada ndo kuleta mahendeleo katika jamii kinacho itajika ni akili yako yakuipambania jimbo lako
2025-10-03 12:10:35
0
user59688491940192
Frey's :
Muandishi mwnyw kipotoshiii😂
2025-10-03 09:56:29
3
nathaniely123.bak
moxhizo :
alipe den la taifa baba levo
2025-10-03 13:10:06
0
benygmail.com42
Beny :
inchi yetu imekua shamba la bibi kila mutu analima😁
2025-10-03 05:12:43
3
ahimas.isaya.nyamb
KIGOMA UNITY :
kigoma tumepigwa pakubwa
2025-10-03 03:40:21
28
usermbplarinumz
mb platinumz :
🤣🤣 jaman huyu amezoea kuwa chawa hayo mambo hawez kujua
2025-10-03 13:13:40
0
chivozejulito0
julito :
Asalaam alaykum Sheikh sorry ndugu yangu wewe sio mtu mzuri Sheikh acha fitna na roho mbaya wakati wa Azim premji na Dr walid about mbona Azim alikuwa hana elimu alakini aligombea Sheikh acha roho mbaya
2025-10-02 23:39:49
1
phestogardena0744729272
Phesto-------kunyumba :
Acha upumbav hilo sio swali
2025-10-03 05:21:55
0
chazya84
Chazya :
kwani weye unauhakika kila swali ukiulizwa waweza jibu? ebu tuliza fuvu lako
2025-10-03 09:13:12
0
samsoni.mkali8
samsoni mkali :
aibu sana hiii
2025-10-03 05:47:54
8
allenmonyo5
Monyo :
hao wanaojuwa wametupeleka wapiii acha ujingaa
2025-10-03 01:57:18
7
eliasndauka
bunju boy :
mbona ww baba ako alikufundisha kupiga nyeto acha ataenda kujifunza uko uko uwo wivu
2025-10-03 07:30:24
0
4icone4
@4ICONE :
acha utumwa waakili kaka uongo nature ya mtu baba na babu zetu waliongozwa na machifu ambao hawakusoma elimu ya dalasani lakin waliongoza vizur hao wasomi wenu mbona wanategemea kuongoza nchi kwakuomba misaada na mikopo toka enzi za mwalim nyerere
2025-10-03 04:59:08
0
isah.bin.deneym
Isah bin De-neym :
Mwishoe ajibu Maana ya Muhimili Ni Dunia kuzunguka kwenye mhimili wake🤣🤣🤣🤣🤣🤣
2025-10-03 05:05:41
1
masteracity2
masteracity :
Mbona zitto ni msomi tena mwananuchumi mbobevu lakini ilo jimbo hajalifikisha popote😁😁😁
2025-10-03 04:06:37
0
negro54435
negro :
jibu nikuwa wanawateuwa wabunge mbumbu ili kushindwa kujua uwizi wanao ufanya
2025-10-03 07:24:22
0
michael.manyanda8
Manyanda Msukuma. 🇹🇿 :
Hakuna mbunge hapo
2025-10-03 11:30:35
1
busestz
TANZANIA BUSES DAILY :
Nchi yangu 😢😢
2025-10-03 07:49:17
1
mayobadeclassic09
mayoba de classic :
kwenda huko....mbunge tunaye natunatamba naye🤣🤣🤣
2025-10-03 13:48:16
0
isihakambata
Isihaka Mbata :
Wabunge kama hawa Waliwe na mamba
2025-10-03 03:46:28
8
abellsulle1
abellsulle :
duuuuh kwisha habari yetu kwakweli kumbe ndo maana wanatiki bila kuelewaaaaaa hahahahaaaa
2025-10-03 04:28:49
4
user2461286235134
ramadhani musa :
kwa maana hiyo haluhusiwi kugombea au umetumwa na ............
2025-10-02 22:53:52
1
leonjulius9376
Leon Julius :
kaka msamehe huyo ni chawa ndo kazi yake
2025-10-03 08:40:48
4
wendigo_700
Wendigo 🖥 :
haya maswali wala hayaitaji elimu, ni maswala ya uelewa tu ambayo hata mtu ambaye hujasoma kabisa na upo responsible kwa nchi yako unapaswa kuyafahamu
2025-10-03 07:08:36
2
To see more videos from user @pangomedia, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About